Kwa wenyeji wa mbeya msaada please!!

Kwa wenyeji wa mbeya msaada please!!

ufumawicha

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2014
Posts
510
Reaction score
213
Naomba mnijuze vyuo vya afya vya private mkoani mwenu ninataka kuwasiliana nao ili wanieleweshe kama mdogo wangu kwa sifa alizonazo anaweza kujiunga.
 
Kuna chuo cha ifisi karibia na songwe airport, ni hospitali teule, ila sina namba zao.
 
Ifisi ni pazuri we panda gari kuelekea tunduma mwambie konda ifisi kituo utakuwa umefika
 
Naombeni na mawasiliano ya hicho chuo cha ifisi mnachosema au hata website yao
 
Back
Top Bottom