Kwa wazazi na walezi: Mada maalum ya watoto

ok thanks hivo anatakiwa awe na ratiba yenye uwiano mzuri na anyonye kwa kiasi au kwa siku mara ngapi?
Chakula chochote kwa mtoto mdogo ni kati ya mara tano na sita kwa siku, hivyo gawa masaa ya kula
 
pamba maalum ni cotton pads ama zipi mkuu?
 
du hivi mtoto mchanga hulazwa kifudifudi ama chali ili alale vizuri/
 

Umenikumbusha mama yangu. Alikua ananiambia nimjaze mtoto manguo mengi sasa unakuta mtoto anasweat mwili mzima mpaka akapata vipele mwilini sasa na manguo tunayomjaza akianza kusweat vile vipele vinamuwasha analia basi naanza kubishana na mama kumpunguza mtoto nguo ni ataongea hapo namwambia muache tu akipata pneumonia ntaenda nae hospital tumfunue. Basi mpaka sasa hiv namvalisha mtoto nguo kawaida ila anaona ndo mtoto ataumwa.

Sababu mimi alinilelea kilimanjaro kwenye baridi basi anataka na mwanangu ninaemlelea Dar nimvike manguo mengi pia.
 
Ila kumbuka hizi ni sehemu mbili tofauti zenye hali ya hewa tofauti hivyo zingatia sana ishu ya vyakula na mavazi
 
wakuu wa humu ndani naomba msaada.naina mtoto wa mwaka na miezi mitano,ila ana kilo nyingi sana kilo 17.je ni sahihi na kama si sahihi nimfanyeje apungue.ankula vyakula vya kawaida tu na kunyonya kwa sana.kliniki mama yake anampeleka ila wanamwambia atapungua akikua. kwa mwenye taaluma anisaidie
 
Dada angu alikuwa na mtoto kama huyo 2005, akashauriwa ampunguzie vyakula na ziwa.
Akapungua
 
Nadhani ushauri wa kliniki ni sahihi ila mwepushie vyakula vya mafuta kwa wingi pia mtafutie michezo itakayomfanya awe na movements
 
Dada angu alikuwa na mtoto kama huyo 2005, akashauriwa ampunguzie vyakula na ziwa.
Akapungua
nashukuru.ila huyu mtoto wangu ni mkorofi anaponyimwa ziwa na mama yake hulia sana na kwa sasa humpiga hata mama ake wakati anapodai kula au kunyonya
Nadhani ushauri wa kliniki ni sahihi ila mwepushie vyakula vya mafuta kwa wingi pia mtafutie michezo itakayomfanya awe na movements
asante ndugu ndugu mshana jr' ,mara nyingi hula ugali maharage na mboga za majani.
 
Habari mihangaiko humu, naomba kueleweshwa na tiba yake kuhusu mtoto mchanga sababu ya kucheua maziwa huku mengine yakitokea puani.
 
Hujafafanuwa vizuri bado Kitungu saumu anapewamtoto wa umri gani? na je Asali anapewa mtoto wa umri gani?sio kila mtoto anapewa kitunguu saumu au Asali? utakuja kuwadhuru watoto wa watu Mkuu@Mshana jr samahani kama nime kukwaza.
 
Mmh mbadilishie diet na jitahidi kumfanya active...aisee ni bonge la kidume HONGERA
 
Hujafafanuwa vizuri bado Kitungu saumu anapewamtoto wa umri gani? na je Asali anapewa mtoto wa umri gani?sio kila mtoto anapewa kitunguu saumu au Asali? utakuja kuwadhuru watoto wa watu Mkuu@Mshana jr samahani kama nime kukwaza.
Sijaspecify umri ni kweli kabisa ila hii mada ni ya kushare uzoefu kwahiyo naomba tushirikiane
 
Hujafafanuwa vizuri bado Kitungu saumu anapewamtoto wa umri gani? na je Asali anapewa mtoto wa umri gani?sio kila mtoto anapewa kitunguu saumu au Asali? utakuja kuwadhuru watoto wa watu Mkuu@Mshana jr samahani kama nime kukwaza.
Ni kweli kabisa kaka ila sidhani kama kuna mzazi/mlezi anaweza kumpatia tu mtoto kabla ya kuuliza vema na kupata ufafanuzi kama nilivyofanya kwa wengine wengi
Naamini hujanikwaza kwakuwa lengo letu sote ni moja KUJENGA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…