Maji ni uhai jamani!Nani hasiyependa maji hapa aseme,sema inahitaji utaalamu,kwa kitaalamu inaitwa "Kunyaza",ukienda Rwanda unakuta mkeka chumbani hamna kutumia godoro,alafu sakafu ya chumbani slopu yake imeelekea bafuni!Hahahaaaahaaa Nduka,chezea natural DAWASCO wewe,siku nyingine msilale kitandani alafu ukome kumsaliti mama yeyo!
atakuwa muhaya asilia
hahahaah!!! kumbe mwapenda kuogelea eeh?
Kuna wenyewe humu watakuja juu labda wasione.
hii haingii akilini,jumla hayo maji ni kama ndoo tatu za lita 20,kwa hiyo hata wewe ulikua unaogelea kwenye maji,hayo maji yote yalikua yanatoka wap,alikua na bomba??dunia imejaa vituko.Nimekutana na hii kitu jumamosi.
Nilikamata mtoto mmoja wa chuo niliyekuwa na msaka kuanzia mwaka huu ulipoanza achilia mbali gharama za pesa za mizinga na mafuta ya kumzungusha mjini pia nusura anivunjie ndoa yangu. Hivyo nilitaka siku hii niisimamie haswa hii kitu hadi machungu yangu yapungue. Nilichokikuta sijawahi kuona wala kusikia duniani. Binti huyu ana maji kuliko unavyoweza kuhisi. Kwa umri huu nimeona mengi, kuanzia wale ma squirters, mavisima n.k lakini hii ni kiboko. Kwa goli tatu tu tuliloanisha maturo manne chepechepe, godoro pande zote mbili na pia sakafuni kulikuwa kuna maji yanayotosha kusambaa chumba kizima kwa dekio la mkono. Wazee wenzangu mmewahi kusikia/kushudia hali hii maana hadi hivi sasa sijapata majibu ile ni kitu gani.
Aweke pichahapaMkuu kama kuna mtu anaweza kuielezea hii kisayansi nipo tayari ku facilitate namba ipatikane tu. Yaani pata picha ukimwagia ndoo ya lita 20 godoro maji hayawezi kulowesha pande mbili sasa huyu binti alitoa kiasi gani?
next time unaenda na mwavuli tu hapo lol
hii haingii akilini,jumla hayo maji ni kama ndoo tatu za lita 20,kwa hiyo hata wewe ulikua unaogelea kwenye maji,hayo maji yote yalikua yanatoka wap,alikua na bomba??dunia imejaa vituko.
Husninyo unauliza makofi polisi!Sema mi nilistuka mapema tukahamia sakafuni!Godoro safi taulo safi,mashuka safi!Raha ya kisima,maji!Duhh ila kiwe kisima isiwe bahari,maana naona ndugu yetu alikutana na bahari!usiwe na wasiwasi, nimekwalifai vigezo vyote. we ushakumbana na dawasco?
Mikaterero eeeeh?atakuwa muhaya asilia
Kweli kua uyaone sio magari ya kina Martin Kadinda
Babu nimekuelewa walau na mimi nimepata hadithi za kuwaambia wajukuu zangu.