Kwa Watasha tu

Kwa Watasha tu

Thiago Silva

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2014
Posts
322
Reaction score
177
Mwalimu alisema laiti jana ingekuwa kesho, leo ingekuwa ijumaa
Je? mwalimu alisema hayo maneno siku gani?
 
Hapo watasha wako wap? nlifikiri lugha itakayotumika ni yes yes msungu kala mafenes kumbe wap!
 
Nami nikajua ni watasha nikute slang yes fine thank u sit down kumbe mmmh!
 
Nakupa mji nenda mwanza . Haya tupe jibu basii
 
jana ya jumapili ni j.mosi na kesho ya j.pili ni j.3 xaxa apo ijumaa inakujaje mkuu?

elewa ww aliongea j.pili 7bu kama jana "jumamosi" ingekuwa kesho inamaana yeye angekuwa kwenye "ijumaa" ambayo kesho ingekuwa ndo jana jumamosi,
 
jumatano. kama jana j4 ingekua kesho alhamis! leo ingekuwa ijumaa

Yaani ijapo umeuliza swali ila upo chali kabisaaa...
Ukisema jumatano unamaanisha hivi" Kama jumanne ingekuwa kesho leo ingekuwa jumatatu"
Usikariri jibu ni jumatano jiulize kwa utulivu zaid kwanin useme ni jumatano.
 
Yaani ijapo umeuliza swali ila upo chali kabisaaa...
Ukisema jumatano unamaanisha hivi" Kama jumanne ingekuwa kesho leo ingekuwa jumatatu"
Usikariri jibu ni jumatano jiulize kwa utulivu zaid kwanin useme ni jumatano.

czani ata ka wewe mwenyewe umeelewa ulchochangia by the way eb nambie ilkua lin?
 
Jumapili. laiti jana ya jumapili ni(jumamosi) ingekuwa kesho(chukua jumamosi ipeleke kesho) inamaana leo (ambayo ndo jumapili) ingekuwa ijumaa.
 
Back
Top Bottom