Kwa wataalamu wa umeme

Kwa wataalamu wa umeme

mkali mimi

Member
Joined
Aug 7, 2012
Posts
78
Reaction score
15
Nna bettry ya gari 12Volts, nahitaji kuitumia kuwashia taa kadhaa (energy savers) kama 5 tu ivi, coz maeneo niliopo umeme wa tanesco unasumbua balaa. Je kuna means yoyote ya kufanya amplification? au chochote? je ni safe kuconnect kwa ajili ya nyumba nzima?? (taa tu, kama 8 ivi) if possible naomba kujua any additional low cost device kinachoweza kuhitajika. Thanks.
 
Kwa uzoefu wangu, tumia taa za D.C 12V (direct current) But hiyo battery ni ''N'' ngapi? endapo ni N80 na kuendelea basi utaweza washa taa 6 kwa mpigo. But nakushauri kununua solar system. Mi kilakitu natumia sola power. Kasoro pasi tuu
 
Kwa uzoefu wangu, tumia taa za D.C 12V (direct current) But hiyo battery ni ''N'' ngapi? endapo ni N80 na kuendelea basi utaweza washa taa 6 kwa mpigo. But nakushauri kununua solar system. Mi kilakitu natumia sola power. Kasoro pasi tuu

N70 mkuu. Dah kwa sasa solar haitawezekana coz bado sijajipanga. Ila betry ndo ipo.
 
Nna bettry ya gari 12Volts, nahitaji kuitumia kuwashia taa kadhaa (energy savers) kama 5 tu ivi, coz maeneo niliopo umeme wa tanesco unasumbua balaa. Je kuna means yoyote ya kufanya amplification? au chochote? je ni safe kuconnect kwa ajili ya nyumba nzima?? (taa tu, kama 8 ivi) if possible naomba kujua any additional low cost device kinachoweza kuhitajika. Thanks.
Kama unataka low cost nunua taa za volt 12 Energy saver mara nyingi wanaziuza km taa za solar. Tafuta za LED ndo zinadumu mda mrefu na utaweza kuitumia betri yako moja kwa bila kifaa kingine cha ziada. Otherwise unaweza nunua inverter ambayo cost yake ni kubwa kidogo tafuta pure sinewave ili kuepuka kuunguza vifaa vyako mara kwa mara, Kwavile unahitaji kutumia taa tu unaweza kwenda kwa mafundi wa Electrical/Electronics waliobobea wanaweza kubadili hizo taa za energy saver zikatumia d.c moja kwa moja au wakakutengenezea simple inverter kwa bei ndogo.
 
Kama unataka low cost nunua taa za volt 12 Energy saver mara nyingi wanaziuza km taa za solar. Tafuta za LED ndo zinadumu mda mrefu na utaweza kuitumia betri yako moja kwa bila kifaa kingine cha ziada. Otherwise unaweza nunua inverter ambayo cost yake ni kubwa kidogo tafuta pure sinewave ili kuepuka kuunguza vifaa vyako mara kwa mara, Kwavile unahitaji kutumia taa tu unaweza kwenda kwa mafundi wa Electrical/Electronics waliobobea wanaweza kubadili hizo taa za energy saver zikatumia d.c moja kwa moja au wakakutengenezea simple inverter kwa bei ndogo.

Bei za inverter zipoje?
 
Hapo mjomba ni invertor tu mambo yote,utawasha hadi taa 12,cause itaamplify toka 12 volts mpaka 220V kama umeme wa Tanesco,kuliko kununua kifaa cha kubadili A.C to DC,kwanza utawasha hadi feni na tv ila ni vizuri zaidi uwe na solar kuepuka usumbufu.
 
Kwa uzoefu wangu, tumia taa za D.C 12V (direct current) But hiyo battery ni ''N'' ngapi? endapo ni N80 na kuendelea basi utaweza washa taa 6 kwa mpigo. But nakushauri kununua solar system. Mi kilakitu natumia sola power. Kasoro pasi tuu

Mpaka fridge unakamua na solar?
je imekucost pesa ngapi kupata full Tanesco?
 
Kama unataka low cost nunua taa za volt 12 Energy saver mara nyingi wanaziuza km taa za solar. Tafuta za LED ndo zinadumu mda mrefu na utaweza kuitumia betri yako moja kwa bila kifaa kingine cha ziada. Otherwise unaweza nunua inverter ambayo cost yake ni kubwa kidogo tafuta pure sinewave ili kuepuka kuunguza vifaa vyako mara kwa mara, Kwavile unahitaji kutumia taa tu unaweza kwenda kwa mafundi wa Electrical/Electronics waliobobea wanaweza kubadili hizo taa za energy saver zikatumia d.c moja kwa moja au wakakutengenezea simple inverter kwa bei ndogo.

Hapo umenena mkuru!!!
 
Mpaka fridge unakamua na solar?
je imekucost pesa ngapi kupata full Tanesco?

Tanesko umeme ninao, but natumia kwa pasi tu. Sola mpaka hapa ilipo ni kama milioni 3 tu. But hapo nilienda kwa kampuni kubwa R.E.X wakanigonga katika first installation. Lakini ni raha, unatakiwa kutumia Friji la D.C Ndo utafaidi
 
Bei za inverter zipoje?

sikushauri kutumia inverter. Sababu
  • yenyewe inatumia umeme mwingi bila ya kutumia kitu kingine
  • hautaweza tumia TV kwa raha, utaweza washa kwa chini ya Nususaa tu.
  • inverter hazidumu
ushauri wangu ni heri ujipige ununue kaTV ka Kilo na nusu flat screen ka D.C ambako utainjoy Badala ya kununua inverter mara kwa mara
 
Ushauri wangu utakufaa kama tuu utapima umeme wako muda gani unakuwa "Low Voltage" na unakuwa unapatikana volts ngapi?
Kisha mie kwa ushauri wangu kama pesa ipo kidogo tafuta APC UPS Used ya Phillippines IKIWA NA BATTERY yake na Ui-configure na ichomeke kwenye umeme wako inputs e.g input 160Volts Outputs 220 kulingana na volts ulizokuwa nazo muda umeme unapokuwa Low Voltage na kisha kwenye power outlets chomeka energy server zako 5 na TV ili mradi usizidishe load zaidi ya Watts 500.

Faida ya UPS ni kwamba ndani ina Invertor tayari na kuepuka issue ya kwenda ku-charge battery mara kwa mara.
 
So clajago, iyo ni bora zaidi kuliko inverter?? sababu nlkua nshaanza kucheki invertors.
 
Back
Top Bottom