mazagazagaa
JF-Expert Member
- Sep 26, 2016
- 290
- 209
Vip hali wataalam wa adsense .. ukiacha na shughuli nyingine ninazozifafanya mimi ni mwandishi wa makala mitandaoni, nilihitaji sana msaada hapa kwa wale wajuzi wa google adsense, Kwa siku huwa kuingiza visitors 10,000++(visitors wa Ulaya/South africa) kupitia social network/organic traffic na visitors 15,000++(Tanzania/kenya/uganda/congo etc) kwa siku.. Nilishatumia google adsense na kupata malipo mara mbili wakanifungia bila hata kuvunja terms zao, nimejaribu kuulizia wanasema kwa sasa accounts za google adsense zinafungwa sana. hasa tanzania.. Kwa sasa natumia Revenuehits, propellerads, ad cash, na local ads katika site zangu.. Hapa nilitaka kuuliza je kuna uwezekano wa kutumia google adsense bila kufungiwa kwa Tanzania kwa hizi account mpya au ndio hawahitaji publishers wa Tanzania tena .Napenda sana nirudi kwenye google adsense kwa kua wanalipa vizuri na wana matangazo mazuri ie hawana pop ads .. Natanguliza shukrani..Kama kuna mjuzi anayejua kitaalam na kiundani sana atoe msaada wenye vidhibitisho vya kueleweka, sio bla bla au maneno ya kubahatisha hii ni kwa ajili ya kujenga..