nameless girl
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 4,195
- 2,689
Habarini wadau wote wa riwaya hususan zile za Joram Kiango. Kwa wale wanaopenda riwaya, Kuna riwaya aina 11 za Ben Mtobwa ambazo ni
1. Tutarudi na roho zetu
2. Roho ya paka
3. Malaika wa shetani
4. Salamu toka kuzimu
5. Mikononi mwa nunda
6. Mikataba ya kishetani
7. Najisikia kuua tena
8. Mtambo wa mauti
Bei yake ni 10,000 kwa kila kimoja
9. Dar es salaam usiku 10,000
10. Zawadi ya ushindi 7,000
11. Kiguu na njia 15,000
kwa anayehitaji anaweza kuvipata Arusha, Morogoro na Dar es salaam. Ndani ya jiji la Dar vinapatikana posta mpya karibu na sanamu la askari, Kinondoni karibu na jengo la airtel na Bunju A. Kwa amabo wako mbali na miko hiyo pia unaweza kutumiwa mizigo yako kwa njia ya bus au sanduku la posta. Kwa mawasiliano zaidi piga simu au tuma msg kwa namba 0763044459.
Wote mnakaribishwa tuendeleze utamaduni wa kujisomea.
1. Tutarudi na roho zetu
2. Roho ya paka
3. Malaika wa shetani
4. Salamu toka kuzimu
5. Mikononi mwa nunda
6. Mikataba ya kishetani
7. Najisikia kuua tena
8. Mtambo wa mauti
Bei yake ni 10,000 kwa kila kimoja
9. Dar es salaam usiku 10,000
10. Zawadi ya ushindi 7,000
11. Kiguu na njia 15,000
kwa anayehitaji anaweza kuvipata Arusha, Morogoro na Dar es salaam. Ndani ya jiji la Dar vinapatikana posta mpya karibu na sanamu la askari, Kinondoni karibu na jengo la airtel na Bunju A. Kwa amabo wako mbali na miko hiyo pia unaweza kutumiwa mizigo yako kwa njia ya bus au sanduku la posta. Kwa mawasiliano zaidi piga simu au tuma msg kwa namba 0763044459.
Wote mnakaribishwa tuendeleze utamaduni wa kujisomea.
Attachments
-
malaika wa shetani.jpg71.6 KB · Views: 204 -
roho.jpg8 KB · Views: 178 -
mtambo cover.jpg59.6 KB · Views: 200 -
dar usiku cover.jpg11.7 KB · Views: 187 -
najisikia.jpg8.6 KB · Views: 160 -
nunda.jpg66.8 KB · Views: 255 -
shetani.jpg77.9 KB · Views: 183 -
COVER---KIGUU-NA-NJIA.-Sample.jpg79 KB · Views: 188