Deluxe mbey
Member
- Apr 7, 2012
- 34
- 1
apo nmekusoma n trueNingemwambia viongozi vilaza wote awapige chini na pia aweke vipaumbele kuijenga tanzania,tanzania inanuka ebu nenda japenga au beijingi uone yani ukirudi tz utazani unaingia chooni tena choo cha baa ya uswazi.
Nawashauri watz tunawe mikono na tuchukue vijiko tuile sura yake
kwenda kupitisha bakuli ulaya, kwakweli hiki kitu kinatuabisha sana watanzania lakini wengi hamjui kwasababu hamsomi magazeti ya magharibi.
Dah iv n noumer eh n aib ukchek na raslmal 2lzo nazo
Naongeza kuwa walikuchagua kwa kuipenda sura siyo utendaji hivyo mambo ya umeme bei juu na haupo wasikuulize hayakuhusu, maisha magumu waambie siyo kazi yako, safari zako nje ya nchi waambie unataalii maana uraisi ni miaka kumi tu ikiisha hujaimaliza dunia watakuwa tayari kukuchangia gharama za kumalizia nchi ambazo hujaenda, riz kujihusisha na bihashara haramu waambie asipofanya watakuwa tayari kumpa pesa za kufanyia matanuzi atakapokuwa anahitaji, na wakija na maswali ya kwamba umeshindwa kupambana na mafisadi wajibu bila hao mafisadi mimi ningekuwa rais. Nimekusaidia machache ninayoyajua naamini utakuwa mwanzo wa kujibu yaliyobaki. Mbona maswali ya huyu dogo ni rahisi kama abc tu.MWANDISHI MMOJA WA MAGAZETI YA MWANAHALISI ALIWAHI KUSEMA
The Man is busy na modem ya Ikulu "referring tangazo la easy net"
Mimi nasema: Endelea tu Mjomba kula..KULA. " kwani nani alisema katiba ya Tanzania inaruhusu kushitakiwa utakapostaafu?" nA NANI ALISEMA HATA HII MPYA IJAYO ITAKUWA NA VIPINGELE HIVYO? kamua tu baba wala hatukugusi....kula vyote na wakina mwana.sha.!!
HAWA WANAOJIITA WA TZ NA MASWALI YAO WOTE "WAPUUZI" MTANZANIA WA KWELI UPO PEKE YAKO NA KINA riz 1, mir..ji na wengine, KULA BABA.
Utakuwa mjinga ukiondoka ujabeba, yakichenji, usijali utaenda ishi kwa BWANA Bush W kule una maswahiba Hata Mwana wa wakenya uliyeenda kuomba urafiki, ukawa wa kwanza Toka E.Afrika kuonana naye utaishi KWAKE pindi hawa vinyamkela wa TANZANIA WAKITAKA KUKUFANYA KAMA MAREHEMU GADDAF.
Hata Bwana X-Gavanna najua hawezi kukutupa! Achana na mhuni huyu anakuuliza Wimbo wako wa Ari Mpya na Kasi haha, hana Jipya labda hajui studio uliyorekodia iliungua na master kopi ikawa imepotea, baati mbaya UNCLE hukua na kopi ya zida.
:disapointed: uncle Endelea KULA Dunia bado mbichi Wala walibya Sio Watanzania
Nipe email yako nikutumie,lkn pia tafuta kablackberry.Mpaka kesho uzi huu utakuwa haupo, najutia kwa nini natumia simu maana nigesave kabisa kabla jopo la maMoDs halijafanya vitu vyake.
Nahisi umekula mango picle kama kifungua kinywa leo. You sound like Rejao.Maswali na hoja za kimajungu!
Mmh mgeni wetu nakuaminia sana kwa utoaji wa updates kwenye matukio muhimu lkn siku mbili tatu hivi mh umeteleza mkuu.102:akili ya MwanaAsha ni yako au ya mama?
Riz-1 anashiliki kuwaua wa TZ?101. Je anajua kuwa mwanae ndio kinara wa kuingiza madawa ya kulevya, kupitia importation of sugar?
Ajiuzulu ili tuchague mwingine.