Kwa wapenda Amani na wanaovijua vichwa vya US na Israel ni bora Iran ipigwe chapchap maisha yaendelee

Kwa wapenda Amani na wanaovijua vichwa vya US na Israel ni bora Iran ipigwe chapchap maisha yaendelee

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
9,462
Reaction score
23,244
Ukweli ni kwamba US na Israel hawakubali kuaibika, hawakubali kushindwa.

Hakuna sheria inayowazuia kufanya lolote hata kutumia Nyuklia kuangamiza Tehran yote ili waonekane washindi

Kuna taarifa zilivuja kwa dakika chache kuonyesha Meli la kivita Abraham likiwa limevurugwa vibaya huko lilikoenda kufichwa lakini zilifutwa chapchap kabla hazijaenda viral ( censorship). Picha US kushindwa haitakiwi kuonekana Duniani, Hata Afghanistan walionekana kushindwa mwishoni baada ya miaka 20 ili kutushahaulisha.

Iran kuendelea kuonekana anavinguvu na kuvunga njia za Mafuta ni kuitesa dunia huku akijua wadau hawa kama litawaumiza hawashindwi kufanya jambo la ajabu kama vichaa.

MWISHO: DUNIA INAELEKEA WAPI.
Iran itarudishwa zama za mawe.
Russia na China uchumi utaporomoshwa kimkakati hata bila vita na watadhohofu vibaya.

Trump atairudisha US kwenye Ukiranja wa Dunia tena kwa nguvu kubwa. Chochote watakachoamua dunia lazima ikifuate hadi Mungu atakapoona Inatosha na kuingilia kati kufuta udhalimu na kusimika serikali yake upya kama wakati wa Adam na Eva.

Ni hayo tu.
Mtumishi Matunduizi
 
Epstein files zimesababisha yote haya wewe unafikiri Trump atakubari mafaili yake yavuje kizembe? Analipa fidia Myahudi hafai kabisa
 
Epstein files zimesababisha yote haya wewe unafikiri Trump atakubari mafaili yake yavuje kizembe? Analipa fidia Myahudi hafai kabisa
Hilo nalo linasemwa, hii vita wamelazimika kuingia ili kuficha hizo tuhuma. Lakini hata hivyo US ni watu makini sio kama sisi tunawahi kusahau hata mgogoro wa Mechi ya simba na yanga tu unadivert akili zetu zote kutoka kwenye mambo ya kitaifa.

Hivyo hiyo sababu inakoswa nguvu sana. Kama anatuhumiwa kule atarudiwa tu vita ikiisha.
 
Ukweli ni kwamba US na Israel hawakubali kuaibika, hawakubali kushindwa.

Hakuna sheria inayowazuia kufanya lolote hata kutumia Nyuklia kuangamiza Tehran yote ili waonekane washindi

Kuna taarifa zilivuja kwa dakika chache kuonyesha Meli la kivita Abraham likiwa limevurugwa vibaya huko lilikoenda kufichwa lakini zilifutwa chapchap kabla hazijaenda viral ( censorship).

Iran kuendelea kuonekana anavinguvu na kuvunga njia za Mafuta ni kuitesa dunia huku akijua wadau hawa kama litawaumiza hawashindwi kufanya jambo la ajabu kama vichaa.

MWISHO: DUNIA INAELEKEA WAPI.
Iran itarudishwa zama za mawe.
Russia na China uchumi utaporomoshwa kimkakati hata bila vita na watadhohofu vibaya.

Trump atairudisha US kwenye Ukiranja wa Dunia tena kwa nguvu kubwa. Chochote watakachoamua dunia lazima ikifuate hadi Mungu atakapoona Inatosha na kuingilia kati kufuta udhalimu na kusimika serikali yake upya kama wakati wa Adam na Eva.

Ni hayo tu.
Mtumishi Matunduizi
Matunduizi upo? Iran ipigwe. Iran hata wanachi wake ni kama wako jela ya wazi. Iran ni jela. Kuna jitu linajiita Ayatollah kinaadhhani wa Iran ni Objects wake! Ni sawa na kikombe sahani somebody owns! Utamlazimishaje mtu kuwa kuna Mungu? Why? Mambo ya Imani hayaoashwi kuwa lazima. Acha apigwe ikiwezekana!
 
Ukweli ni kwamba US na Israel hawakubali kuaibika, hawakubali kushindwa.

Hakuna sheria inayowazuia kufanya lolote hata kutumia Nyuklia kuangamiza Tehran yote ili waonekane washindi

Kuna taarifa zilivuja kwa dakika chache kuonyesha Meli la kivita Abraham likiwa limevurugwa vibaya huko lilikoenda kufichwa lakini zilifutwa chapchap kabla hazijaenda viral ( censorship). Picha US kushindwa haitakiwi kuonekana Duniani, Hata Afghanistan walionekana kushindwa mwishoni baada ya miaka 20 ili kutushahaulisha.

Iran kuendelea kuonekana anavinguvu na kuvunga njia za Mafuta ni kuitesa dunia huku akijua wadau hawa kama litawaumiza hawashindwi kufanya jambo la ajabu kama vichaa.

MWISHO: DUNIA INAELEKEA WAPI.
Iran itarudishwa zama za mawe.
Russia na China uchumi utaporomoshwa kimkakati hata bila vita na watadhohofu vibaya.

Trump atairudisha US kwenye Ukiranja wa Dunia tena kwa nguvu kubwa. Chochote watakachoamua dunia lazima ikifuate hadi Mungu atakapoona Inatosha na kuingilia kati kufuta udhalimu na kusimika serikali yake upya kama wakati wa Adam na Eva.

Ni hayo tu.
Mtumishi Matunduizi
Wapigane sana, wauane sana, wakomeshane sana, watiane adabu sana mpaka vita vitakapisha tuwe na uhakika kuwa hawatapigana tena. Let the battlefield determine the winner.
 
Hilo nalo linasemwa, hii vita wamelazimika kuingia ili kuficha hizo tuhuma. Lakini hata hivyo US ni watu makini sio kama sisi tunawahi kusahau hata mgogoro wa Mechi ya simba na yanga tu unadivert akili zetu zote kutoka kwenye mambo ya kitaifa.

Hivyo hiyo sababu inakoswa nguvu sana. Kama anatuhumiwa kule atarudiwa tu vita ikiisha.
Trump angekua kweli anatoa kichapo kwa wanaoua raia kwa sababu ya kuandama na mabango km anavyodai basi huku kuna mtu muda huu angekua kashachezea sana mabanzi, ila Epstein files wamezikamata Wayahudi wanamwambia Mzee Babu usipofanya hivi tunaachia mafaili yako, ungekua wewe unafanyaje?
 
Matunduizi upo? Iran ipigwe. Iran hata wanachi wake ni kama wako jela ya wazi. Iran ni jela. Kuna jitu linajiita Ayatollah kinaadhhani wa Iran ni Objects wake! Ni sawa na kikombe sahani somebody owns! Utamlazimishaje mtu kuwa kuna Mungu? Why? Mambo ya Imani hayaoashwi kuwa lazima. Acha apigwe ikiwezekana!
Mimi nipo siku zote, Ayatollah hana tofauti na wakina Mao. Sioni tofauti kati ya raia wa Iran chini ya Mao na Wachina, Warusi au NK. Kote wanatawaliwa kwa mkono wa Chuma. Kikubwa kwa dunia hii vita vinavyweza kuathili Uchumi wa Dunia nzima havipaswi kukaa muda mrefu sisi huku mataifa yaliyomasikinishwa hali itakuwa mbaya sana.
Ndi maana anayeonekana Mnyonge apigwe chapchap maisha yaendelee.
 
Ukweli ni kwamba US na Israel hawakubali kuaibika, hawakubali kushindwa.

Hakuna sheria inayowazuia kufanya lolote hata kutumia Nyuklia kuangamiza Tehran yote ili waonekane washindi

Kuna taarifa zilivuja kwa dakika chache kuonyesha Meli la kivita Abraham likiwa limevurugwa vibaya huko lilikoenda kufichwa lakini zilifutwa chapchap kabla hazijaenda viral ( censorship). Picha US kushindwa haitakiwi kuonekana Duniani, Hata Afghanistan walionekana kushindwa mwishoni baada ya miaka 20 ili kutushahaulisha.

Iran kuendelea kuonekana anavinguvu na kuvunga njia za Mafuta ni kuitesa dunia huku akijua wadau hawa kama litawaumiza hawashindwi kufanya jambo la ajabu kama vichaa.

MWISHO: DUNIA INAELEKEA WAPI.
Iran itarudishwa zama za mawe.
Russia na China uchumi utaporomoshwa kimkakati hata bila vita na watadhohofu vibaya.

Trump atairudisha US kwenye Ukiranja wa Dunia tena kwa nguvu kubwa. Chochote watakachoamua dunia lazima ikifuate hadi Mungu atakapoona Inatosha na kuingilia kati kufuta udhalimu na kusimika serikali yake upya kama wakati wa Adam na Eva.

Ni hayo tu.
Mtumishi Matunduizi
Inaonekana vyanzo vyako vya habari ni cnn tu. Ungejua irani anacho wafanya ndugu zako ungefunga na kuomba
 
Trump angekua kweli anatoa kichapo kwa wanaoua raia kwa sababu ya kuandama na mabango km anavyodai basi huku kuna mtu muda huu angekua kashachezea sana mabanzi, ila Epstein files wamezikamata Wayahudi wanamwambia Mzee Babu usipofanya hivi tunaachia mafaili yako, ungekua wewe unafanyaje?
Shida sio maandamano nadhani.
Hapo wanatafuwa Urusi na China kudhohofishwa bila vita vya moja kwa moja kiuchumi nionavyo mimi. Msimamizi wa US eneo la Middle East Israel abaki anafanya kazi yake kwa amani bila tishio.

Ndio maana Baads ya Iran hapo Uturuki amepewa signal kwa mbali ajiandae maana inaonekana na Yeye Endorgan ameanza kuja kwa kasi.
 
Inaonekana vyanzo vyako vya habari ni cnn tu. Ungejua irani anacho wafanya ndugu zako ungefunga na kuomba
Mimi ukiangalia vyanzo vyangu vyote in Iran. Inabidi niwe natafsiri kutoka kiarabu to English kabla sijaanza kusoma tweets zao. Ila baada ya kuchanganya na akili yangu bora nimeona bora ashindwe tu maisha yaendelee. Hafiki popote japo namsifu anagawa dozi nzito sana kuliko matarajio ya walioanzisha vita. Hasa hii Doctrine ya Decentralized Mosaic Defense ya sasa ndio hatari zaidi. Hata wakismuggle silaha za Nyuklia kutoka Iran au wakabahatika kuitengeneza kwa mfumo wanaotumia sasa kupambana hakuna mtu wa kuzia wasipige popote.
Ila kwa hali ya sasa hawawezi kuzidi siku 60. Au hata mwezi kwa sababu nchi yao iko uchi kwa espionage za Mossad na CIA.
 
Shida sio maandamano nadhani.
Hapo wanatafuwa Urusi na China kudhohofishwa bila vita vya moja kwa moja kiuchumi nionavyo mimi. Msimamizi wa US eneo la Middle East Israel abaki anafanya kazi yake kwa amani bila tishio.

Ndio maana Baads ya Iran hapo Uturuki amepewa signal kwa mbali ajiandae maana inaonekana na Yeye Endorgan ameanza kuja kwa kasi.
Kwa hio unataka kusema kwamba China na Urusi wamemfanyaje Iran kwenye BRICS?

BRICS is an intergovernmental organization comprising ten countries: Brazil, China, Egypt, Ethiopia, India, Indonesia, Iran, Russia, South Africa, and the United Arab Emirates.

Mboni SA na wengineo wemekaa pembeni wanamchora tu Iran anavyochezea kichapo?
 
Ila kwa hali ya sasa hawawezi kuzidi siku 60. Au hata mwezi kwa sababu nchi yao iko uchi kwa espionage za Mossad na CIA.
Hivi zile Nyuklia zao kiwanda si kilipigwa bomu sasa hawana tena Nyuklia ndio maana wanachezea kichapo?, halafu Iran kwanini harushi bomb kuelekea Marekani? Anaogopa nini kwa mfano si ameshajitoa sadaka au?
 
Kwa hio unataka kusema kwamba China na Urusi wamemfanyaje Iran kwenye BRICS?

BRICS is an intergovernmental organization comprising ten countries: Brazil, China, Egypt, Ethiopia, India, Indonesia, Iran, Russia, South Africa, and the United Arab Emirates.

Mboni SA na wengineo wemekaa pembeni wanamchora tu Iran anavyochezea kichapo?
Ni kwa faida yetu mkuu. Wakiingia tu hapo ni WW3. Na dunia yote itajaa miozi ya Nyuklia. Na bora wabaki hivyohivyo imewasidia kujua udhaifu wa US Maana wao hawatashambulia vikambi vya uarabuni ni hukohuko NewYork na DC. Hata Kiduku tu akisemaa anunue kesi ya Iran Hali sioni kama itakuwa shwari.
BRICS haipo kwanza. INDIA NI Israel mtupu, Chawa wa kutupwa hata wanaowasumbua Iran kwenye kuwauza wengi walikuwa ni wente asili ya India na watafutaji wakiafganstan. Ukitoa China na Russia wengine hao ni masikini kivita kama sisi tu.
 
Hivi zile Nyuklia zao kiwanda si kilipigwa bomu sasa hawana tena Nyuklia ndio maana wanachezea kichapo?, halafu Iran kwanini harushi bomb kuelekea Marekani? Anaogopa nini kwa mfano si ameshajitoa sadaka au?
Hana huo uwezo kwa kurusha hadi huko ndio maana anapigwa. Angekuwa nao mazungumzo yangeendelea hadi kesho.

Kilipigwa kisiasa tu hakuna ushahidi kuwa madhara yalikuwa makubwa. Ni zilezile propaganda za Ukubwa Wa US na sifa ila hata wao hawaelewi kama walifanikiwa 100% au la. Ndio maana imebidi wakati huu apogwe vizuri kwa uhakika.
 
Kuna taarifa zilivuja kwa dakika chache kuonyesha Meli la kivita Abraham likiwa limevurugwa vibaya huko lilikoenda kufichwa lakini zilifutwa chapchap kabla hazijaenda viral ( censorship).
Vilivuja wapi?

Kitu kikishakaa kwenye intanet Ndo imetoka, utafuta Ila wengine watazirudisha tena, mbona Iran hawazirudishi ili kuonyesha ubabe wao.
Mana ile kitu ukiipiga n ushindi kwako.

Meli ipo salama ile, endeleeni kudanganyana huko.
 
Vilivuja wapi?

Kitu kikishakaa kwenye intanet Ndo imetoka, utafuta Ila wengine watazirudisha tena, mbona Iran hawazirudishi ili kuonyesha ubabe wao.
Mana ile kitu ukiipiga n ushindi kwako.

Meli ipo salama ile, endeleeni kudanganyana huko.
Sawa
 
Vilivuja wapi?

Kitu kikishakaa kwenye intanet Ndo imetoka, utafuta Ila wengine watazirudisha tena, mbona Iran hawazirudishi ili kuonyesha ubabe wao.
Mana ile kitu ukiipiga n ushindi kwako.

Meli ipo salama ile, endeleeni kudanganyana huko.
Kwa mujibu wa CEO wa Raffale French Airdefence company kombora la Fattah 2 halizuiliki na airdefence system kirahisi. Kwanza linatembea kwa kimo cha chini ADS nyingi zinategemea kitu kitokee juu.
Pia lina speed kali na range ya 1500KM.

Kwa range hii sio tu Abraham Lincoln iko ndani ya range hadi lile kubwa kuliko yote US linaitwa FORD liko ndani ya range ya kupigwa, ndio maana ilizima GPS kujipoteza ilipokaribia na maeneo ya Iran. Vita vya Iraq zilienda manowari karibu tano ila hii moja tu na yenyewe imekimbia mbali kujificha hiyo Abraham maana wanajua ikipigwa hiyo Marekani imeabika duniani kote. Maana ndio fahari na Nembo ya Jeshi lao.

Ndio maana waliposema Abraham imepigwa makombora manne hakuna hata US mwenyewe aliyekanusha au kubisha maana inawezekana na hawana namna ya kuzuia isiwezekane zaidi ya kutafuta namna ya kuficha maana hata hivyo Internet kwa 90% inamilikiwa na wao na vibaraka wao
 
Mimi ukiangalia vyanzo vyangu vyote in Iran. Inabidi niwe natafsiri kutoka kiarabu to English kabla sijaanza kusoma tweets zao. Ila baada ya kuchanganya na akili yangu bora nimeona bora ashindwe tu maisha yaendelee. Hafiki popote japo namsifu anagawa dozi nzito sana kuliko matarajio ya walioanzisha vita. Hasa hii Doctrine ya Decentralized Mosaic Defense ya sasa ndio hatari zaidi. Hata wakismuggle silaha za Nyuklia kutoka Iran au wakabahatika kuitengeneza kwa mfumo wanaotumia sasa kupambana hakuna mtu wa kuzia wasipige popote.
Ila kwa hali ya sasa hawawezi kuzidi siku 60. Au hata mwezi kwa sababu nchi yao iko uchi kwa espionage za Mossad na CIA
Kuna zaidi ya siku 30 China na Russia wamepeleka meli na ndege nyingi za mizigo na za kivita na hakuna alojua zinapeleka nini.. japo baadhi ya taarifa za kiintelijensia zinasema na makombora na ADS's kama S-400, mpaka sasa tumeona mifumo ya S-400 haipo, tumepata jibu kua ni vichwa vya makombora vinavofungwa juu ya Hipersonic missiles, hii vita haikutarajiwa kwa malekani na Israel, walihisi shambulio la siku moja(kumuua ayatollah) lingemaliza kila kitu. Majibu yake marekani wanasemaje????


View: https://youtube.com/shorts/Q6CBIPKpIog?si=9JbBWkctFdyWivgV
 
Back
Top Bottom