Kero zingine utavunja ndoa..... Kulala na nguo kwenu, kilichokuleta huku hakina uhusiano na kuvaa nguo wakati wa kulala....mimi ananikera kuniambia nilale bila nguo.
Kero zingine utavunja ndoa..... Kulala na nguokwenu, kilichokuleta huku hakina uhusiano na kuvaa nguo wakati wa kulala....
Si kila kitu utaambiwa na wazee, kuna vingine mazingira yatakufundisha.... Kwani hao wazee walishawahi kukueleze mkiwa mna-DO, mfikishe bao ngapi?nilikuwa sijui, sijui kwanini wazee hawakuniambia.
Ndo kumegwa kisela huko. Huwezi kujua kipi ni kipi kama unamegwa kisela.
Kama komenti zako ndo hizi, basi we endelea kumegwa kisela... vipi kama vyooteee anavyovifanya huvipendi? Kuna ndoa/mapenzi hapo kweli...??
Me ananikera kunikataza kuwa busy na simu