Kwa wanavyuo wote wanaosomea i.t/computer science pitieni hapa

Kwa wanavyuo wote wanaosomea i.t/computer science pitieni hapa

Nazifahamu hizi event za Hackathon,ni wazo zuri sana kwa kukuza uwanja wa sayansi na teknolojia lakini ni rahisi kuanza kwa kundi dogo la watu wachache walio tayari kufanya hili,kinachohitajika ni maandalizi machache na moyo kujituma na utayar wa kazi,

Kwa msiozifahamu event hizi,zimezalisha product kadha wa kadha zilizonunuliwa na makampuni makubwa kamyUa Google,Skype,Adobe,kwa mamilioni ya dollars,kwa info zaidi,pitia hapa,

https://en.m.wikipedia.org/wiki/Hackathon
 
Hacking sio ndio kuonyesha mtu anajua IT sababu what ure doing now ni cyber crime,una wa influence watu wawe waharifu,na pili kuhusu application vijana wame develop application nyingi tu tena very creative ila watanzania hamu wassaport kwa kununua,mna angalia free application ndio mna pakua,ili kuwasapoti watu wa fani hiyo lazima watanzania wenyewe tuwasapoti kwa kununua kazi zao na pili kulipia huduma za ki it wanazo wasaidia watu,kuhusu kutumia device za zamani watu wa it wamekuwa ni kama ma dr.wanawasaidia sana watu kuwatatulia matatizo yao ya kiteknohama ila ikija kwenye malipo wanalipwa pesa kiduchu sana.
 
Tatizo Tanzania hawatuthamini zao lao la I.T. Information systems projects kama CAS,TANCIS n.k.Tupo graduates ambao tunaweza kuzitengeneza from scratch ila watachukuliwa wa Korea walipwe mamilioni ya fedha kwa hio tender wakati kampuni za I.T solutions zipo nchini yote ni sababu ya siasa na upigaji dili!
 
Back
Top Bottom