Kwa wanaume wenzangu

Kwa wanaume wenzangu

Lakini mbona kama hali ni tofauti?? Labda unaowazungumzia ni wa chini ya miaka hiyo 25.
Maana waschana wa 25 kwenda juu kama si yule aliyevurugwa wengi hujielewa.

Mengine yote uko sawa
Imebidi nirudie mara2, yuko vise versa
 
Back
Top Bottom