Huna hili wala lile unasikia ujumbe umeingia kwenye simu yako ya mkononi, unaifungua na kukutana na sms yenye jina na namba ya mkeo huku ujumbe wenyewe ukisomeka hivi: "kweli nimeamini kwamba wewe ni mkali, nimekupenda sana kwa vituko vyako kitandani na ninaapa sitokuacha na nnakuomba nawe usiniache, asante sana".
Unajaribu kufikiri kwa nn wife akutumie sms hiyo leo wakati mna miaka zaidi ya mitano ktk ndoa hupati jibu. Unauchuna lkn unaporudi nyumbani na kuchukua cmu yake na kuiangalia unakutana na sms ileile lakini imetumwa pia kwa mtu mwingine na unapokwenda kwenye inbox unakutana na majibu ya sms ile ya kwamba "usijali kwani hata mm nimekupenda sana kwa namna unavyojishughulisha kitandani.
Je, kama ndo yamekukuta wewe ndugu yangu utafanya nini? Amini usiamini tukio hili ni la kweli na limemtokea mdogo wangu ambaye tumeolea familia moja na hadi sasa ni cku nne zimepita amesafiri na cmu ya mkewe pasipo kumweleza chochote hadi arudi wk ijayo. Afanyeje? Nishauri nikamshauri!
kazi kweli! Ndoa ndoano! Kuishi na mtu mzima mwenzio kazi kweli, unaweza kuwa unajituma, unajishughulisha, unamridhisha na bado akatoka nje tu. Binafsi naomba mungu nisije kujua kama kuna kitu kama hicho na mimi kama ninafanya au nitafanya hayo basi na yeye asijue basi! Siku nitakapojua basi mambo yote yataishia hapo hapo, i mean itakuwa mwisho maana hapo tutakuwa tumeadharauliana vya kutosha
Mzee mwenzangu umenena vema, lakini hebu isome kwa sauti hii sentensi hapa chini kwenye red.Amepata ukweli kuhusu mke wake na sasa akae chini aamue. Ama kuendelea mbele au kuzima gari na kulitelekeza!
Hana tena nafasi zaidi ya kufanya maamuzi magumu. Pia ajiangalie kama na yeye ni msafi ki hivyo. Kama ni ajali ya kimapenzi ambayo hata yeye ingeweza kumpata wakati wowote auchune tu na kuendelea na maisha!
Hata hivyo anaweza kumwonesha mkewe hiyo sms na kumwomba siku nyingine awe makini ili aache kumrusha roho! Vinginevyo huyo ndiye my wife wake!!!
Huna hili wala lile unasikia ujumbe umeingia kwenye simu yako ya mkononi, unaifungua na kukutana na sms yenye jina na namba ya mkeo huku ujumbe wenyewe ukisomeka hivi: "kweli nimeamini kwamba wewe ni mkali, nimekupenda sana kwa vituko vyako kitandani na ninaapa sitokuacha na nnakuomba nawe usiniache, asante sana".
Unajaribu kufikiri kwa nn wife akutumie sms hiyo leo wakati mna miaka zaidi ya mitano ktk ndoa hupati jibu. Unauchuna lkn unaporudi nyumbani na kuchukua cmu yake na kuiangalia unakutana na sms ileile lakini imetumwa pia kwa mtu mwingine na unapokwenda kwenye inbox unakutana na majibu ya sms ile ya kwamba "usijali kwani hata mm nimekupenda sana kwa namna unavyojishughulisha kitandani.
Je, kama ndo yamekukuta wewe ndugu yangu utafanya nini? Amini usiamini tukio hili ni la kweli na limemtokea mdogo wangu ambaye tumeolea familia moja na hadi sasa ni cku nne zimepita amesafiri na cmu ya mkewe pasipo kumweleza chochote hadi arudi wk ijayo. Afanyeje? Nishauri nikamshauri!