Kwa wanaume wa Dodoma tu!

Kwahiyo hata bikra dada yangu haipo!? Haya ngoja waje hasa Falcon Mombasa na Mshana maana ndo wadau wakubwa wa hizi fursa.
 
af mkumbuke me cyo mhanga wa hlo ilA najarbu tu kuongea hal halisi...!
 
Mim nipo dodoma, kipato changu kwa mwez ni 2mil. Lakin sina bachelor naomba ni pm
 
Hehehehee.ndo maana sitaki kuhama dom, ntakutafutaaa
 
teh teh teh aise mdau ndiyo maana wanasema mchagua nazi uambulia koroma vigezo vingi utadhani anatangaza nafasi ya kazi aise duuuuuu
 
Sawa kuweka vigezo.... ila na sisi wanaume tuna standards zetu... mojawapo ni mke asiwe anayepanga sheria hasa mapema hivi... punguza masharti... mf. ungeweka, awe na upendo wa kweli, pia mahali- unapong'ang'ania Dodoma ukikosa utafanyaje? Sikuhizi kuoa ni popote.... haya.... Ngoja tukuachie wenyeji wa Dom.. .(utakosa mume kwa kuchagua mkoa)
 
Umeshazeeka harafu vigezo kibao.. Mapenzi hayahitaji elimu bibie yanahitaji upendo wa dhati
 


Ushauri: Long Distance marriage
 
Kikicjobaki ni kuliwazana maisha yaende mwaya...!karibu mile mbilii
 
Hii mambo yakulazimisha ndoa shida ndo zinaanzia hapo. Wewe tulia tu kama una tabia nzuri sura inaeleweka wala usiangaike watajileta wenyewe but punguza nyodo.
 

Bachelor wa kitaa humtaki???
 
Hahahhahaha mkute mdada wa hivi akiwa 18-25..... Hizo nyodo zake lazima ukae, yaani hapo ujana wote kaumaliza kila size kaiona, kila style kacheza na uwezekano mkubwa ni MTERA
Sio vizuri kaka,ukiwaza hayo wala hutaoa maana hii practize hata wewe unaifanya/umeifanya!!!waachieni wanaotafuta wenza jamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…