mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 22,312
- 55,971
Kusomesha ni jukumu la mzazi, sio mume, mchumba au boyfriend. Kozi pekee wanayotakiwa kusomeshwa hawa wenzetu ni cookery (mapishi), driving kwa ajili ya kuendesha lile gari la mkopo apeleke watoto shule na kuendea sokoni na sayansi kimu tu, zingine unajitafutia presha.
Wengi wamelizwa huko vyouni, wanakutana na watu wa kila aina kuanzia serengeti boys mpaka veterans wa mapenzi wenye hela zao, wengine ndio dharau zinaanzia hapo na ndoa au penzi kuisha.
Mwenye masikio na asikie
Wengi wamelizwa huko vyouni, wanakutana na watu wa kila aina kuanzia serengeti boys mpaka veterans wa mapenzi wenye hela zao, wengine ndio dharau zinaanzia hapo na ndoa au penzi kuisha.
Mwenye masikio na asikie