The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,080
Boss, Nyumba Kubwa, AshaDii na Gaijin huku vipi mnapatikana pia au network zenu hazishikihalafu nilikwambia nitafutie jina la huu wimbo na alieimba...mpaka leo kimya...
tulia mpenzi,tulia mpenzi
tulia mpenzi nipate tulia....
salha sudi wewe ndo kipenzi changu..
tulia mpenzi tulia mpenzi
tulia mpenzi nipate tulia.....
nimewahi kumuona SAL DAVIS akiuurudia sijui kama yeye ndie alieimba
Kumbe huwa wajificha weye nitatafutahoto: hoto:
Boss, Nyumba Kubwa, AshaDii na Gaijin huku vipi mnapatikana pia au network zenu hazishiki
Associé (Fally Ipupa) - YouTube
Duh! Boss hii nyimbo kwa kweli siijui.....doesn't ring a bell hata chembe. Usije kuwa umechanganya labda ya enzi za Siti Binti Saad huko! lol
but SAL DAVIS unamjua sio?
Hahaha!! Gaijin tenaMimi Mwafrika bwana.....kila kinachodunda kinanihusu :]]
Boss, Nyumba Kubwa, AshaDii na Gaijin huku vipi mnapatikana pia au network zenu hazishiki
Associé (Fally Ipupa) - YouTube
Haya sawa sawa lol!!..1Usije tu nitafuta kutaka Psychological therapy..... Sina mafweza ya kulipia... you have been warned!! lol
Huyo si anaimba Jazz flani au ......maana inaweza ikawa ilikuwa nyimbo ya Jazz ya zamani
NK kashauri hata ukianza wewe sio mbaya...lol... Mradi aitikie tu ya yeye kua "I love you"
SAL DAVIS hata 'sabalkheri mpenzi' alihaiimba pia..jazz ndio but na huku yupo kidogo
Boss, Nyumba Kubwa, AshaDii na Gaijin huku vipi mnapatikana pia au network zenu hazishiki
Associé (Fally Ipupa) - YouTube
Okay nakuwekea unataka zipi kati ya hizilol Ashadii hata kama magumashi:ballchain:niwekee basi kile kibao chetu niburudike weekend switiiiiiiii.
Hahaha!!! Boss wadada huwa wanapenda jinsi Fally anavyokata mauno yake, sasa huku sisi ukianza kukata mauno watu wanakutengenezea picha nyingine lol!!The Finest
wadada wanavyompenda Fally
ukiweza cheza kama yeye....
wata lete wao posa aisee lol
Hahaha!!! Boss wadada huwa wanapenda jinsi Fally anavyokata mauno yake, sasa huku sisi ukianza kukata mauno watu wanakutengenezea picha nyingine lol!!
Kwa yule wangu anayenigusa mtima napenda kumtumia wimbo huu wa Mzee Yusuf uitwao "My Valentine".
lol Ashadii hata kama magumashi:ballchain:niwekee basi kile kibao chetu niburudike weekend switiiiiiiii.