Kwa wanaosafiri sijui huu ni ushamba?

Kwa wanaosafiri sijui huu ni ushamba?

Mengine mahaba mahabani....si unajua zile "umefika wapi dear? Pole kwa safari jamani, I miss u" Aaah kwa nini asitambulishe?

We kama huna wa kumwambia weka earphones.....
 
Utasikia mtu tangu anaanza safari asubuhi mpaka anafika safari yake jioni anapiga simu kila baada ya dakika kumi kutambulisha alipofika, utadhani kabeba pembe za ndovu..!!

Sasa unataka je? Maana ya cm n nini?
 
Si atume screenshot ya google map my position. Kwisha khabari.
 
sio kila mtu anamiliki smartphone, tehe tehe tehe
 
Wengine huuliza umempikia mtoto uji na hiyo ni saa sita mchana,halafu sinzia kidogo baadaye simu tena baba John kesharudi,usingizi akiamuka kwani uko wapi saa hizi uwahi kurudi nyumbani,usingizi tena akiamuka nimekumiss mume wangu natamani nirudi leo leo,papo hapo anapiga kwenye kidumu kingine kesho nakuja nikufumanie ole nimkute mtu mwingine nitamung'oa kucha ,usingizi tena,akiamuka charge imeisha ,utasikia kaka samahani naomba simu niwajulishe kuwa nipo karibu Makandana waje kunipokea ,ukisafiri kuna burudani tosha
 
Mengine mahaba mahabani....si unajua zile "umefika wapi dear? Pole kwa safari jamani, I miss u" Aaah kwa nini asitambulishe?

We kama huna wa kumwambia weka earphones.....

Aargh! too much bana mtu anarudiarudia sentensi hiyo hiyo siku nzima hadi battery ina-flat!
 
JF inapewa kazi kubwa sana. Yaani na wewe ilimradi tu uanzishe thread, sasa ndio nini hii unatuletea hapa jukwaani?
Ova
 
Wengine huuliza umempikia mtoto uji na hiyo ni saa sita mchana,halafu sinzia kidogo baadaye simu tena baba John kesharudi,usingizi akiamuka kwani uko wapi saa hizi uwahi kurudi nyumbani,usingizi tena akiamuka nimekumiss mume wangu natamani nirudi leo leo,papo hapo anapiga kwenye kidumu kingine kesho nakuja nikufumanie ole nimkute mtu mwingine nitamung'oa kucha ,usingizi tena,akiamuka charge imeisha ,utasikia kaka samahani naomba simu niwajulishe kuwa nipo karibu Makandana waje kunipokea ,ukisafiri kuna burudani tosha

Teh teh, we umetisha kaka.
 
Safarini watu huwa wanahamaki.Kupiga simu ni sehemu ya kujifariji.Ninadhani si mbaya bila kuvunja sheria.
 
Ili kuepuka kero na makelele yao mkuu ni bora ukodishe gari...la peke yako...ujitanue kwa raha zako mwanawane...
 
Mengine mahaba mahabani....si unajua zile "umefika wapi dear? Pole kwa safari jamani, I miss u" Aaah kwa nini asitambulishe?

We kama huna wa kumwambia weka earphones.....

hahaha umeona eeeh uskute ye akisafiri wa kumuuliza hana ni wivu lazima aone
 
Back
Top Bottom