Joto Balaa
JF-Expert Member
- Sep 14, 2016
- 1,141
- 770
Usingeacha hii kitu ikupiteMuongeze na Lusinde hapo.
Usingeacha hii kitu ikupiteMuongeze na Lusinde hapo.
Ongezea tafadhaliHawa Abdulrahiman Ghasia alizaliwa mwanzoni mwa miaka ya 70 katika kijiji cha Naumbu ambacho kipo kandokando ya bahari ya Hindi kule mkoani Mtwara. Ni msomi wa shahada ya Maendeleo ya Jamii aliyoipata pale UDSM. Historia ya maisha yake inaonesha kwamba amekuzwa katika mazingira ya umaskini mkubwa kwani shughuli kubwa ya kiuchumi ya mzee A. Ghasia ambaye sasa ni marehemu ilikuwa ni uganga wa kienyeji ambao unatumia maandishi ya kichawi almaarufu "Falak". Hii ni aina ya uchawi ambayo mara nyingi hutumika kupoteza uhai wa watu. Kabla anachaguliwa kuwa mbunge wa Mtwara Vijijini, Bi. Hawa alikuwa Afisa Maendeleo ya Jamii katika Halmashauri ya wilaya ya Masasi. Kitabia, dada huyu ni mwenye majivuno na dharau kwa kiwango cha juu. Hii inatokana na kuringia mafanikio aliyoyapata ukilinganisha na familia aliyozaliwa ambayo ni duni na yenye kutegemea uchawi kuendesha maisha ya kila siku. Ni miongoni mwa wabunge wanaowakilisha jamii maskini sana hapa Tanzania. Maisha ya wananchi wa Mtwara (V) ni duni sana ukilinganisha na majimbo jirani ya Nanyamba, Mtwara Mjini na Tandahimba. Naona niishie hapo kwa leo.
Lugha hii ni ya JFHuna hoja.. sasa akitokea familia masikini basi ndio asifanikiwe au asiongee?? pumbu zako mshenzi wewe.. Mbona yuko kawaida anasaidia watu sana.. anasomesha watu sambamba na mkapa.. Barabara nyingi za mtwara mjini yeye ndio alihamishia hiyo miradi kutoka mikoa ya kati.. wakati huo akiwa waziri wa TAMISEMI.. mtwara ilipata barabara nyingi sana wakati wa uwaziri wake... jimbo lake ndilo ambapo DANG'OTE amejenga kiwanda kikubwa.. Acheni unafiki.. Mama kajitahidi sana.. hata timu yenu ya NDANDA ALIKUWA AKIIILIPIA MAMBO MBALIMBALI... msijenge chuki kiasi hicho.. Mm siipendi CCM lkn yule mama anataka sana kwao (MTWARA) kuwe na maendeleo sana...
Subiri chama chenu Kiende Ikulu 2055. Mnaichukia CCM kwa sababu ya ukabila wenu na huyo mroho wenu wa madaraka haendi Ikulu ng'o!Mtasema mengi sana, lkn ukweli in kwamba upande huo kuna watu wenye extreme love kwa chama chao na they don't care about this country. Wako wengi sana, na ndiyo sababu kubwa ya kutopenda kukosolewa hata kama wamekosea.
Tofautisha kubebwa na watu waliotoka familia maskini na kutuachia Legacy...mf. Kambarage, Madiba, Tyson, CR7...Hawa Ghasia first degree kasomea Mzumbe, second degree kasomea SUA, pia ni mchumi; Masasi alikuwa Afisa Mipango nasahihisha. Pamoja na kasoro alizonazo ni mchapa kazi kapambana kikamilifu katika maisha anastahili sifa hapo alipofika hakuna haja ya kumbeza kuwa katokea familia maskini. Ni fahari kutoka familia maskini ukajitahidi na kupanda juu kuliko kubakia kama wazazi wako waliko. Acheni porojo za UKAWA
Mkuu huyu kati ya watu wanaoniudhi duniani ni huyu....laiti ningekuwa mumewe ........shoo za kibabe ni halali yakeNaomba niongeze mmoja jenista mhagama
Mtu mwenyewe anaitwa "Ghasia" unategemea nini sasa zaidi ya ghasia
Mkuu nani huyo? au yule mama aliyekuwa aliyekuwa first lady?Ni kama ana stress za kukosa uwaziri. Alisha zoea kubebwa bebwa na ndugu yake.
Muongeze na Deo Sanga 'Jah People' aliyekuwa anacheza kiduku kwenye Bunge la KatibaMuongeze na Lusinde hapo.
Jenister alifiwa mmewe wa ndoa kitambo sana. Kama sikosei alikuwa mhasibu kwenye moja ya mamlaka zetu hapa nchini. Eeh, somebody Mhagama!Mkuu huyu kati ya watu wanaoniudhi duniani ni huyu....laiti ningekuwa mumewe ........shoo za kibabe ni halali yake
Ahaa aaa! Hivi yule mwehu ndio Deo Sanga?Muongeze na Deo Sanga 'Jah People' aliyekuwa anacheza kiduku kwenye Bunge la Katiba
Na hata mashine yake yaweza kuwa tamu pia.Yule mama anaonekana alivyokuwa binti alisumbua sana kwa jinsi alivyo
Hapa sema ulikuwa unamsingizia tu dada Hawa !!huwa hana lugha ya kibunge kabisaa.
Maneno kama:-Mtajiju,...Mtalijua jiji,....Nimekuchoma chwiii wacha kulialia,....
Oohh Kwahiyo yeye ndo kasababisha huku tukose barabara poaHuna hoja.. sasa akitokea familia masikini basi ndio asifanikiwe au asiongee. Mbona yuko kawaida anasaidia watu sana.. anasomesha watu sambamba na mkapa.. Barabara nyingi za mtwara mjini yeye ndio alihamishia hiyo miradi kutoka mikoa ya kati.. wakati huo akiwa waziri wa TAMISEMI.. mtwara ilipata barabara nyingi sana wakati wa uwaziri wake... jimbo lake ndilo ambapo DANG'OTE amejenga kiwanda kikubwa.. Acheni unafiki.. Mama kajitahidi sana.. hata timu yenu ya NDANDA ALIKUWA AKIIILIPIA MAMBO MBALIMBALI... msijenge chuki kiasi hicho.. Mm siipendi CCM lkn yule mama anataka sana kwao (MTWARA) kuwe na maendeleo sana...
Nahisi jana hukumsikia...Hapa sema ulikuwa unamsingizia tu dada Hawa !!
Amesema alihamisha miradi ya barabara za kanda ya kati wakati Yupo Tamisemi au hyo sio issue kwako?Jamii ya watu wajinga mara nyingi ujadili personality za watu
Tubadilike lets us discuss issues not personality guys
Wengine nikundi la wabunge wa hovyo kwangu ni
simbachawene
kairuki
makamba
huyo mama
Shemeji???? Una uhakika? Mume wake yuko wapi?Huyo ni Shemeji wa Muzeee ya Musoga.
hahahahh mkuu kwaio unageuka unakua na mapigo ya kingwendu yaleyale in real life,,..lazma familia yako ilieHuogopi anaweza kukurushia Falak moja ukageuka kingwendu?