Unahusu kijana wa kiume ambaye alikuwa hapendi kufanya kazi badala yake anapenda kulelewa na kina mama watu wazima wenye hela.Naombeni kujua wimbo wa ' mario ' by franco luambo unamaanisha nini?
Ni wimbo mrefu ila in short ni mwanamke analalamika jinsi kijana mario anavyomtia hasara coz kazi hana na anatunzwa na mwanamke at the same tym anampiga huyo mama na kumvunjia vitu vyake vya ndani ambavyo kanunua mama na pesa yake
eeh wewe google lyric ya hizo nyimbo zote zimetafsiliwa mitandaoni.hata youtube utapata.hapa wabongo kila mtu atakupa msamiati wakeWadau na huu wa AZALAKIWA by GATHO unamaanisha nini jaman? Nazipenda sana nyimbo za wakongo shida kubwa ni language barrier!