Sasa utajibu pm ngap? Si uweke hapa mezan kila kituLeo nina habari nzuri kwa watu wote wanaoitaji kuroot, Ku unlock, na kuflash simu zao inbox me kwa ajiri ya software na maelezo zaidi
Post sent using JamiiForums mobile app
Naitaji mkuuinategemea haina ya simu
Bwa ha ha ha!!njoo inbox kwa mazungumzo na maelewano ya bei tatizo lako linawezekana ndani ya siku 7-10
Kwanza hakuna tools za kuflashia sim ambazo hazijawah kua discussed humu ndan..hata unlocking tools piapm sio tatizo zitajibiwa kwa anae hitaji atanitafuta
mimi hlo jambo si kazi yangu na tool ukiweka mezani kila m2 akaona utawauwa watu wengine wenye kutegemea hzo kazi tool anatakiwa kuwa nazo m2 anaetaka kuwa fundi au ni fundi hvyo 2Kwanza hakuna tools za kuflashia sim ambazo hazijawah kua discussed humu ndan..hata unlocking tools pia
Sasa sion haja ya kuficha mambo mkuu uko pm
Nan kasema kuflash sim ni kosa?Mkuu huogopi miaka 30 ya TCRA? Maana kosa la kuflash sim ni miaka 30.
Chukua tahadhari mzee.