Kwa wanaohitaji viwanja mbeya jiji!

Kwa wanaohitaji viwanja mbeya jiji!

Makuku Rey

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2013
Posts
3,725
Reaction score
4,405
Sasa naanza kukata viwanja katika shamba langu lililopo ITENDE MBEYA.

ni eneo zuri,huduma zote (umeme na Maji )vinapatikana,ni eneo ambalo ndo limeanza kujengeka sasa.

Kuna usafiri Wa bajaji,kwa tsh 500 inakufikisha mpaka Barbara kuu ya ZAMBIA(tunduma road)
viwanja nakata kwa kuanzia mwenye mil 2,3na 4
 
Any documents!?
Sasa naanza kukata viwanja katika shamba langu lililopo ITENDE MBEYA.

ni eneo zuri,huduma zote (umeme na Maji )vinapatikana,ni eneo ambalo ndo limeanza kujengeka sasa.

Kuna usafiri Wa bajaji,kwa tsh 500 inakufikisha mpaka Barbara kuu ya ZAMBIA(tunduma road)
viwanja nakata kwa kuanzia mwenye mil 2,3na 4
Size please
 
Back
Top Bottom