julius mahinya
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 1,152
- 384
Uchumba ni hatua ambayo kijana (mvulana au msichana) anapitia akiwa na matarajio ya kuoana. Unapo tafuta mchumba hizi ni sifa muhimu sana:-
1. Dini (Awe mtu mwenye imani juu ya Mungu hii utaona faida yake baadae)
2. Tabia njema
3. Afya (Lazima ujue afya ya mwenzio kabla ya kuoana hii ni pamoja na magonjwa ya kurithi kama vile kifafa)
4. Kazi (Hata Mungu alipotuumba alitutaka tukafanye kazi na asiyefanya kazi asile, Lazima mwenzio awe na kazi au frusa ya kazi mbele yake)
5. Usafi (ukitaka kujua kwa haraka haraka mtu ni msafi au la tazama kucha zake, ila kimsingi usafi ni jambo muhimu sana)
6. Asiwe Mlevi
Mengine yaliyobaki mnaweza kurekebishana.
N.B
"Mheshimu mchumba wako maana hutogombea tendo la ndoa"
maana ya nukuu hiyo hapo juu ni hii, mtu unayemheshimu huwezi mtaka akuvulie nguo ili ufanye nae tendo la ndoa huku nyie si wana ndoa, na hilo halitawafanya mgombane. akikuomba tendo la ndoa kabla ya ndoa huyo hakufai piga chini. Kama anataka tendo la ndoa piga chini!
Muulize ni Mapenzi ya Mungu sisi kufanya hivi kabla ya ndoa? kama ni mcha Mungu atakujibu ukweli!
Ila kingine jamani aanzieni kwenye urafiki, uchumba then ndoa!!!!!!!!!!!
1. Dini (Awe mtu mwenye imani juu ya Mungu hii utaona faida yake baadae)
2. Tabia njema
3. Afya (Lazima ujue afya ya mwenzio kabla ya kuoana hii ni pamoja na magonjwa ya kurithi kama vile kifafa)
4. Kazi (Hata Mungu alipotuumba alitutaka tukafanye kazi na asiyefanya kazi asile, Lazima mwenzio awe na kazi au frusa ya kazi mbele yake)
5. Usafi (ukitaka kujua kwa haraka haraka mtu ni msafi au la tazama kucha zake, ila kimsingi usafi ni jambo muhimu sana)
6. Asiwe Mlevi
Mengine yaliyobaki mnaweza kurekebishana.
N.B
"Mheshimu mchumba wako maana hutogombea tendo la ndoa"
maana ya nukuu hiyo hapo juu ni hii, mtu unayemheshimu huwezi mtaka akuvulie nguo ili ufanye nae tendo la ndoa huku nyie si wana ndoa, na hilo halitawafanya mgombane. akikuomba tendo la ndoa kabla ya ndoa huyo hakufai piga chini. Kama anataka tendo la ndoa piga chini!
Muulize ni Mapenzi ya Mungu sisi kufanya hivi kabla ya ndoa? kama ni mcha Mungu atakujibu ukweli!
Ila kingine jamani aanzieni kwenye urafiki, uchumba then ndoa!!!!!!!!!!!