Kwa wanajua ibada ya kesho kwa askofu Gwajima

SEGUZO

JF-Expert Member
Sep 30, 2016
280
198
Wakuu naomba wanaojua Misa ya kesho kanisa la UFUFUO NA UZIMA atujuze kama somo la mwendelezo wa Bashite litakuwepo, kwa vile wengi wetu sio wa kristu, ila kinachotuvutia ni mahubiri ya Askofu Gwajima anapo hubiri mambo ya BASHITE
.
 
Gwajima ni shujaa kwa viongozi wa kidini, jamaa ni jasiri, sio mnafki. Kubwa zaidi akiongea huwa anaongea kwa fact, hakurupukagi huyu bwana.
 
Back
Top Bottom