wapo wana CASFETA waliooana wakiwa hapo hapo chuoni, na wengine waliooana baadaye. japo kua ni wachache ila wapo wanchuo wano oana. jambo la msingi ni kumwamini Mungu, na chagugua kundi linalo kufaa. chuoni kila haina ya watu wapo, kama ni wapendwa wapo, kama ni mabuzi utawapata na watu ambao wako serious wapo.
Jambo la msini define yourself!