Kwa wana CHADEMA tu!


Hongera sana Mkuu kwa uamuzi huu mkubwa katika kujenga Taifa letu. Nakuombea kila la heri na mafanikio katika yote unayoyakusudia kuyafanya ili kuutwaa ubunge wa jimbo hilo.

 

Big up Masa! Mimi naku support hasa kwenye swala la nyumba. Nitoe maoni tu kama yata add value kwamba instead ya kujenga kitu kitakachokaa muda mfupi basi ningekushauri kuwa organize vijana kwenye jimbo lako kutengeneza small companies za ujenzi alafu wakiwa in those group of companies unawezesha kuwatafuta wataalamu wenye vyeti vya VETTA kulingana na fani zao one in each group. So kutakuwa na hao watakaosaidia kufytua matofali company moja, waashi company nyingine etc. Baadaye over all unatafuta Civil engineer mzalendo mmoja atayekuwa akitoa consultancy kwenye hivyo vikundi lakini kwa makubaliano rasmi kwamba hivi vi company viki breakthrough watalipa hiyo consultance fee kwa huyo mzalendo na wewe ukiwa garantor (SP?) wao.

Then mnaanza kupanga vijiji/ mitaa depending on needs na kuingia mikataba ya hiari (Long term) na raia wenye hitaji la nyumba kuwajengea nyumba zao nzuri spacious na zenye garden za nguvu maana huko rural ardhi siyo issue kubwa. Kazi yako kama mbunge mtarajiwa tafuta seed money (Funds) siyo nyingi sana kusaidia kuweka misingi kwenye hizi companies tafadhali usipeleke hii issue kwa wafadhili (foreigners) utashindwa kabla ya kuanza. Unaweza uka solicite funds from various internal sources..kumbuka hao ni vijana ambao hawakuwa na kipato so usiwape pesa bali posho kidogo tu za kujikimu wakati wakianza; so before anything fanya baseline kuona kipato halisi nikiasi gani in the specific area ili chochote watakachokipata from their companies wakithamini na kuona ni jasho lao wenyewe (To develop sense of ownership).

Then wakiweza kujenga nyumba ukianza kwa wale wenye kipato ili waweze kulipa kwa haraka...una saidia kuwa na leagal facilite itakayowezesha agreement huku wewe uki mediate. Umtafute mzalendo pia kwa consultancy tu how to draw simple and applicable agreements. Na hivyo hao first phase wakianza kulipa companies zina anza kuwa liquidated so wanaendelea na hizo firm zao kuwajengea na wengine na wengine mpaka hatimaye inakuwa ni permanent thing...Utawapa vijana ajira na family zao makazi mazuri.

Wewe mbunge mtarajiwa utakuwa na kazi ya kutafuta other ways za kuraise income za wapiga kura wako ili waweze lipia hizo nyumba zao...Maana watatakiwa kulipa may be in 20 years for example. Malipo yakifanyika kwa installment ukitoa grace period ya may be one season ya kuvuna mazao na kuuza. Care International wana models za payment kwaajili ya hizo programs hata za nchi nyingine kama Bangladesh and the like.

Implementation wont be straight lakini utakuwa na lessons learnt na ku improve as you proceed. Masa Ukishafanikisha after so many years unikumbuke nije kutembelea tu nitafarijika sana na wakati huo tutafungua shampen pamoja na wapiga kura wako!

Nakutakia yote mema katika kufikia malengo yako
 
Wakati ukifika nijulishe nikupe mchango wangu ingawa najua pa kukupata na kukuwakilishia mchango wangu
 
big up Rev Mas

Kama ni maeneo ya kanda ya ziwa tutakutana huko kupeana nguvu, mimi sasa hivi nina mikakati ya 2015
 


Nice move Rev. To dare is to do and we are behind you Rev.

Rafiki yako MS umemtaarifu lakini? maana wishes zake ni muhimu sana, unaweza m-PM ajue uko serious zaidi


By the way, all the best and hope wakati ukifika utatushirikisha nasi tutakuwa pamoja nawe kutekeleza
 
Brilliant idea!! "Take care of the pennies....... and the pounds will take care of themselves...."
 
Wakati ukifika nijulishe nikupe mchango wangu ingawa najua pa kukupata na kukuwakilishia mchango wangu

Hahahahah ila mzee usilete kama mtego TAKUKURU wakafanya mambo yao!
 


Asante sana Felister

I am touched na ideas zako, suala na kukimbilia kwa wafadhili sina kwenye mipango. Nguvu kazi yangu na tegemeo langu kubwa ni kuanzisha miradi endelevu. Wananchi nilivyowasoma wanahitaji kuelekezwa na kuwezeshwa. Umenipa wazo zuri sana.
 
wa kwe2 hongera kwa uamuzi na mpango mzuri,kumbuka na kutuchimbia visima walau kila kitongoji, hawa wenzetu hawana mpango na wanafiki tu.
 
Hongera mchungaji!Lini kampain inaanza tuanze maandalizi??2015 lazima tuwapige mafisadi bao la kisigino!
 
JUA HUWAANGAZIA KWANZA WALE WALIOSIMAMA KABLA HALIJAWAANGAZIA WALIOKAA......! kimbia wakati wenzako wanatembea
 
Aisee mbona mazingira ni kama ya jimbo nnalotaka kuchukua 2015. Kwa ufupi ntalichukua kupitia CDM, tuwasiliane jama.
 
wabeja sana Rev Masa , ni PM Nikupe mikakati zaidi na michango pia.wabeja sana
 
kwa nini initials za wengi kati ya viongozi na watafuta uongozi CHADEMA zinafanana na initial ya Masa?????????

Tatizo liko wapi?Kila mtu ana uamuzi wakusurport na kufanyia kazi anachoamini!Sasa wao kama wao wanaamini wanachoweza kukifanya kupitia CDM na kama kwa bahati wametokea kua na hiyo title then be it!Kwani umeambiwa uchungaji ndio utakaopelekwa ikulu?Usiangalie kinachotangulia jina...angalia uwezo na sera za mtu!
 
kwa nini initials za wengi kati ya viongozi na watafuta uongozi CHADEMA zinafanana na initial ya Masa?????????

Hahahahah Mkuu nimekuelewa! Ila si vile ni coincidence tu ya majina!
 
Now you are talking Rev!
................................ we dont have much resources at our disposal but we have the will and courage.

Mkuu hapo umesema ! Tuko wote.
Nina imani tupo wengi humu na wengine hawajatangaza nia, lakini kwa njia moja au nyingine watasaidia ktk kuleta mabadiliko tuyatakayo.
 
mpinzani wako toka ccm atakuwa malariasugu mnafanana maborers wa jf
 
Big up Rev. Masa nitakuwa mpiga debe wako wa nguvu nitakufa na mtu hasa wakati wa kulinda kura.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…