Kwa wana CHADEMA halisi

huna unachojua, mmekuja juzijuzi tu mnajidai wanamageuzi milobobea, muda wote mlikuwa wapi! kama wanaume si mngeanzisha chama chenu muda mrefu!

Rudi ukaanzishe majeshi nyuma.
Sisi majeshi mbele
 
Ni kweli kwamba hata kama CHADEMA watashindwa hawatazorota kama ilivyokuwa kwa NCCR lakini ikiwa watashindwa, kule juu kutakuwa na msukosuko sana labda tu ni kwavile Mbowe is untouchable kama ilivyo kwa Maalim Seif vinginevyo, lawama nyingi za kushindwa zitamwangukia yeye kwamba "endapo asingemkaribisha Lowassa, basi haya yasingetokea!" Yanapotokea majanga, kwa hulka ya wanadamu watatafuta mtu wa kumdondoshea jumba bovu!

Wapo pia ambao hivi sasa wamekaa kimya... wapo waliokaa kimya kwa maslahi ya chama lakini pia wapo waliokaa kimyaa kwa kukosa uthubutu wa kutoa hisia zao wazi wazi ingawaje pia wapo waliokaa kimya kwa kuchelea kujimaliza kisha mwisho wa siku Mbowe akaja kuonekana ndio shujaa wa mchezo kwa hatua yake ya kumkaribisha EL! Hawa wote, endapo Lowassa atashindwa, hatimae watajitokeza hadharani na kurusha lawama za waliomkaribisha EL ndani ya CHADEMA!

Nusura ya CHADEMA ni kupata viti bungeni ambavyo, kimsingi hata mimi ambae sitafurahia kuona Lowassa akienda Magogoni lakini nasali CHADEMA wapate viti vingi zaidi vitakavyomaliza nguvu ya CCM bungeni. Lakini ikiwa CHADEMA watashindwa hata kupata viti vingi basi watakuwa kwenye hali ngumu sana na busara ni kwa Mbowe kuachia nafasi ya uenyikiti kabla muda wake haujaisha kuonesha uwajibikaji.
 

Mkuu umenena vema sana, kama hawa hajamaa watakosa kule juu lazima kupasuke na Ili niipende Chadrma tena lazima Mbowe atoke kule juu kabla mda wake haujaisha
 

LOWASSA hawezi acha ujangili. Mbwa Mzee Hafundishiki Tabia Mpya.
 
Tumekusikia ila hatujakuelewa
Kaungane na doctor Mihogo.alafu ni vzur ukistaafu siasa.
 
 
Reactions: mmh
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…