Kwa waliosoma IFM

Kwa waliosoma IFM

Ushauri anaweza kupewa ila unakua ni mtazamo wangu binafsi kutokana na jinsi navyoipenda na muono wangu binafsi. Ila kuna course ambazo zipo marketable ambazo ukisoma lazma upate kazi au hata ukakosa basi kujiajiri ni rahisi kabisa. Kuna IT au Computer Science. Ni technical course hizo ambazo huwez lala njaa ukizisoma
Ukisoma hiz course na ukawa unapishana na pesa basi ujue ulikua unakariri, yan hujuzi wako ni wa kwenye makaratasi. Ila ukijua basi utatafutwa na watu sio ww uwatafute.
 
Kwa level yake hiyo inakua course moja insurance and social protection akiingia diploma ndo zinakua course mbili tofauti..
kwani si anakwenda kusoma diploma direct ama mimi ndo sijawaelewa hawa nacte
 
Ushauri anaweza kupewa ila unakua ni mtazamo wangu binafsi kutokana na jinsi navyoipenda na muono wangu binafsi. Ila kuna course ambazo zipo marketable ambazo ukisoma lazma upate kazi au hata ukakosa basi kujiajiri ni rahisi kabisa. Kuna IT au Computer Science. Ni technical course hizo ambazo huwez lala njaa ukizisoma
pamoja mzee. shukrani sana umekuwa msaada sana hapa
 
Ukisoma hiz course na ukawa unapishana na pesa basi ujue ulikua unakariri, yan hujuzi wako ni wa kwenye makaratasi. Ila ukijua basi utatafutwa na watu sio ww uwatafute.
kuna changamoto za hizi kozi nazo mzee..kidogo nina xperience na hizi kozi
 
Back
Top Bottom