Kwa waliosoma IFM

Kwa waliosoma IFM

teledam

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2017
Posts
927
Reaction score
1,239
habarini bandugu

nina dogo langu amechaguliwa ifm kozi insurance and social protection

kwa wanafunzi wanaochaguliwa moja kwa moja na serikali wanapata full sponsorship ama ni vipi na je akitaka kubadili kozi ni ipi ataruhusiwa

natanguliza shukrani wadau
 
Inategemea na pass zake.. kama ana pass nzuri bas course yoyote anaweza badilisha ila kama za kawaida basi course kama banking and finance, Accountancy, Social Protection na n.k zinazohusu busness
 
Inategemea na pass zake.. kama ana pass nzuri bas course yoyote anaweza badilisha ila kama za kawaida basi course kama banking and finance, Accountancy, Social Protection na n.k zinazohusu busness
chali yupo vizuri,amejitahidi kwa kweli
 
Inategemea na pass zake.. kama ana pass nzuri bas course yoyote anaweza badilisha ila kama za kawaida basi course kama banking and finance, Accountancy, Social Protection na n.k zinazohusu busness
na vipi ada kwa hawa waliochaguliwa na serikali wana wa-sponsor au ndo yaleyale ya kupambana na hali yako
 
chali yupo vizuri,amejitahidi kwa kweli
Kama yupo vizuri achague anayoipenda na kuiweza pia.. kusoma kitu unachopenda humfanya mwanafunzi asichoke shule harafu kingine kikubwa aangalie course ipi ipo marketable leo na miaka ijayo, i mean awe na jicho la mbali asichague ilimradi kachagua kisa kaka au dada alisoma course hiyo. Ni ivyo tu.
 
na vipi ada kwa hawa waliochaguliwa na serikali wana wa-sponsor au ndo yaleyale ya kupambana na hali yako
Kuhusu ada nadhani huwa wanalipiwa kiasi flan ila sina uhakika sana coz sina taharifa za watu wa diploma kuhusu malipo kwa walio chaguliwa na serikali moja kwa moja
 
habarini bandugu

nina dogo langu amechaguliwa ifm kozi insurance and social protection

kwa wanafunzi wanaochaguliwa moja kwa moja na serikali wanapata full sponsorship ama ni vipi na je akitaka kubadili kozi ni ipi ataruhusiwa

natanguliza shukrani wadau
Amemaliza form four
 
Kuhusu ada nadhani huwa wanalipiwa kiasi flan ila sina uhakika sana coz sina taharifa za watu wa diploma kuhusu malipo kwa walio chaguliwa na serikali moja kwa moja
poa mze umesomeka sana
 
Hizo ni course tofauti ndani ya faculty moja, sasa hapo kachaguliwa red or blue. I wish ningemshauri kitu
me mwenyewe ananiomba ushauri nimebaki njia panda sina nalojua ndo maana nimekimbilia huku nikiamini nitapata msaada
 
Hakuna hiyo course ifm, ni insurance and risk management
jishuhudie hapa mwenyewe mzee hapa nilikuwa namsaidia ku-confirm tamisemi
20190617_200457.jpeg
 
me mwenyewe ananiomba ushauri nimebaki njia panda sina nalojua ndo maana nimekimbilia huku nikiamini nitapata msaada
Ushauri anaweza kupewa ila unakua ni mtazamo wangu binafsi kutokana na jinsi navyoipenda na muono wangu binafsi. Ila kuna course ambazo zipo marketable ambazo ukisoma lazma upate kazi au hata ukakosa basi kujiajiri ni rahisi kabisa. Kuna IT au Computer Science. Ni technical course hizo ambazo huwez lala njaa ukizisoma
 
Back
Top Bottom