Kwa waliosoma Bagamoyo Secondary School

Kwa waliosoma Bagamoyo Secondary School

Mkuu mi nilipiga 04-06 ilikuaga noma aisee hist 1 alikua senzighe hist2 haikuaga na mwenyewe mara yule mzungu mara msela mmoja hivi alikuaga usdm alitutufundisha world war ha haa lufingo jog 1....yule mama mkuu wa wilaya hawa ngulume alitupiga bonge ta mkwara ile siku tuliyo andamana na kupigwa paa...

Umenikumbusha mbali sana mzungu kila akiingia anaanza na WW 2 anachora raman ya ulaya na Norway kwisha kaz.. Siwez kumsahau Mtu pori R.I.P a week before final alitutoka.. wap salamanda, sheby d, HGL
 
Hahaaa... nakumbuka siku moja kati ya mwalimu MANYAMA KICHWA WA HESABU alizinyuka ngumi na Mama MASENGA. Hahahaaaaaa halafu master alikuwa mazengo mpoleeeee. Kweli walimpa wakati mgumu baba wa watu
 
mbona wote madogo! sioni zetu ilikuwa akina bilalo ,tibikunda ambao wote wameshafariki achilia mbali mikwajua ya kisanga domo la shaba bob alikuwepo sijui kama hawa watu wapo
 
mbona wote madogo! sioni zetu ilikuwa akina bilalo ,tibikunda ambao wote wameshafariki achilia mbali mikwajua ya kisanga domo la shaba bob alikuwepo sijui kama hawa watu wapo

We ulisoma mwaka gan?
 
hahaaa... Nakumbuka siku moja kati ya mwalimu manyama kichwa wa hesabu alizinyuka ngumi na mama masenga. Hahahaaaaaa halafu master alikuwa mazengo mpoleeeee. Kweli walimpa wakati mgumu baba wa watu

kali, sikuwepo ila nawakumbuka na niliwaacha wote
 
namkumbuka kasanga, naali alinikwamisha kitaaluma. Mungu ambariki aendelee kunywa pombe sana

kasanga alikuwa mwalimu mzuri sana wa civics na displine master wakati wetu kabla ya vurugu kubwa zilizopelekea kubadilishwa na kupewa abdiel kitungwa a.k.a bingwa , nae haikupita muda akapewa mzee mzima wa kilaji silvester biruko, kabla hajapewa mr elisafi mronga
 
jamaa alishatangulia mbele ya haki

nasikia alihamishiwa mtwara kuwa head master, rip mwalimu, alikuwa dormitory master wetu siku ya jumamosi ilikuwa ni lazima afike bwenini umoja kutuonyesha jinsi ya kuosha vyoo
 
Umenikumbusha mbali sana mzungu kila akiingia anaanza na WW 2 anachora raman ya ulaya na Norway kwisha kaz.. Siwez kumsahau Mtu pori R.I.P a week before final alitutoka.. wap salamanda, sheby d, HGL

Samwel John Mzimba a.k.a mtu poli aisee never 4get ile day tumetangaziwa msiba wake full huzuni yani..
 
Geog1 mzee mzima Lufingo ndo alikua anazungusha usukani daah jamaa alitufundisha mara 2 sijui mpaka tunamaliza fm 6 2006.full time mdomoni ana kubeli.
 
anaezikumbuka vurugu za shule azitaje,,,,,,km mm nilishuhudia stone war ilipigwa savana,vita nyngn ni fom 6 vs fom5 o level ikaungana na fom5 daah fom 6 wakasalenda,vita nyngn tulienda kucheza mpira nia njema likatokea vurugu bas njian wkt tunarud ikawa yeyote tunaejiskia tunamvamia mwisho wa siku tukaenda kukumbana na polisi mziki ukawa hapo,aisee baga vita nyng sana siwez kuzmaliza zote
 
Back
Top Bottom