Kwa waliosoma Bagamoyo Secondary School

Kwa waliosoma Bagamoyo Secondary School

armando78

Member
Joined
Aug 24, 2013
Posts
45
Reaction score
2
kama umesoma au unasoma bagamoyo secondary school tukutane hapa kujikumbusha ya shule yetu
 
Nlipiga pale advance 04-06.. Sitasahau vurugu zetu na FFU tukaitiwa mkuu wa Wilaya kipind icho Hawa ngulume (RIP), Mkuu Usalama wa Taifa Wilaya, na Maofisa Polisi Wilaya tukapakiwa kwenye mabas ya mkoa ya kukodiwa suspended for 2 weeks tukashushwa Mwenge mtajijua pa kwenda. Waliobaki shulen mda wa kulala kumi na mbili jion.
 
Nlipiga pale advance 04-06.. Sitasahau vurugu zetu na FFU tukaitiwa mkuu wa Wilaya kipind icho Hawa ngulume (RIP), Mkuu Usalama wa Taifa Wilaya, na Maofisa Polisi Wilaya tukapakiwa kwenye mabas ya mkoa ya kukodiwa suspended for 2 weeks tukashushwa Mwenge mtajijua pa kwenda. Waliobaki shulen mda wa kulala kumi na mbili jion.

hiyo nilikua fom2 naikumbuka hyo
 
Kitungwa alinifyekesha majan ya uwanja wa mpira kisa nilivaa culture mkononi nyas zenyewe ukipiga fyekeo linakwama ndefu ka mpunga afu nying ka mchanga jamaa alikua katili yule.. na doria zake za ucku cku alitufumania club hunters watu wanne tulichezea vitasa anapiga ngumi cheka mdoli.
 
form six 2005 enzi hizo Nassari mbunge yupo o-level. nawakumbuka kitungwa. mkuu wa chuo mazengo. bweni letu lilikuwa Umoja
 
Nlipiga pale advance 04-06.. Sitasahau vurugu zetu na FFU tukaitiwa mkuu wa Wilaya kipind icho Hawa ngulume (RIP), Mkuu Usalama wa Taifa Wilaya, na Maofisa Polisi Wilaya tukapakiwa kwenye mabas ya mkoa ya kukodiwa suspended for 2 weeks tukashushwa Mwenge mtajijua pa kwenda. Waliobaki shulen mda wa kulala kumi na mbili jion.

Mkuu mi nilipiga 04-06 ilikuaga noma aisee hist 1 alikua senzighe hist2 haikuaga na mwenyewe mara yule mzungu mara msela mmoja hivi alikuaga usdm alitutufundisha world war ha haa lufingo jog 1....yule mama mkuu wa wilaya hawa ngulume alitupiga bonge ta mkwara ile siku tuliyo andamana na kupigwa paa...
 
Mwambaja alikua sec master kabla hajaamishwa nakumbuka alinidaka town sina uniform alinitupia punch za ukweli nikala kona jamaa alikuga mbabe halafu pande la mtu.
 
Mwambaja alikua sec master kabla hajaamishwa nakumbuka alinidaka town sina uniform alinitupia punch za ukweli nikala kona jamaa alikuga mbabe halafu pande la mtu.

jamaa alishatangulia mbele ya haki
 
Back
Top Bottom