costadiego
Member
- Feb 28, 2022
- 76
- 86
- Thread starter
- #21
Ni kweli shamba langu wameingiza mifugo aiseeMasai ni wanyama hawana utu utakuta kasmamia mifugo shamban ukimhoj anakutimua vbya mno na ucpokuwa makin sime inakuhusu
Ni kweli shamba langu wameingiza mifugo aiseeMasai ni wanyama hawana utu utakuta kasmamia mifugo shamban ukimhoj anakutimua vbya mno na ucpokuwa makin sime inakuhusu
Tembelea maeneo shida ni wafugaji tuu hukuNilitaka kununua ekari moja Bei gani?
Tafuta sumu au ile mihogo pori ukishindwa kabisa nyunyuzia asali mgawane msibaNi kweli shamba langu wameingiza mifugo aisee
Awa jamaa cyo watu kabisaUpande wa kiteto na simanjiro naskia masai wanachungia mashamba ovyo
Kwahyo umewafanyeje baada ya kulisha mazaoNi kweli shamba langu wameingiza mifugo aisee
Mimi nawashangaa mnashindwaje kuweka sumu pembezoni wakifa ngombe hata kumi nakuhakikishia shamba lako halitachungiwa mileleEneo waliloingiza mifugo nimerudia alizeti
Pole sanaEneo waliloingiza mifugo nimerudia alizeti
Ukinipa hints itanisaidia mkuu, nashukuru kama vipi nirushie inbox tusiwakere wengineTembelea maeneo shida ni wafugaji tuu huku
Ekari moja bei gani kwa kununua na kwa kukodi pia vipiAlizeti na kunde. Ni shamba langu sijakodi
Nasikia jamaa bora uuwe ndugu yao kuliko kuuwa ngombe wao..watakusaka ulipo na kisasi chao hakiihsi...anyway kuweni na tahadhari sana.Tafuta sumu au ile mihogo pori ukishindwa kabisa nyunyuzia asali mgawane msiba
Ni kweli Bora uachane nao awa jamaa cyo pouwa kabisaNasikia jamaa bora uuwe ndugu yao kuliko kuuwa ngombe wao..watakusaka ulipo na kisasi chao hakiihsi...anyway kuweni na tahadhari sana.
#MaendeleoHayanaChama
Ushaondoka?Mimi lengo langu nikamate mashamba makubwa kwa gharama ndogo mkoa wa ruvuma lakn bado cjapata mwongozo mzur hii leo nko songea nitaanza kutembelea maeneo mbali mbali kuanzia kesho, nmeishi manyara miaka kumi mashamba nakod kw lak na nusu, nmeamua ntembelee mkoa hu nione naskia mashamb Bei Chee nkifanikiea nianze kilimo km kichaa na pia nifuge ngombe weng nahc naweza nkatoboa! Dondosha jina la eneo ktk mkoa hu ntakapoweza kulima kw trecta na kufuga ukizngatia mito kwa ajili ya maji y mifugo🙏🙏🙏
Npo mbinga bado lakn kwa kias utaft Wang umefikia sehem nzur naenda kujiandaa nfanye malipo ya mashambaUshaondoka?
Poa poa,Kuna mashamba tumelipa juzi Kati hapa Kuna mengine yanauzwa.Npo mbinga bado lakn kwa kias utaft Wang umefikia sehem nzur naenda kujiandaa nfanye malipo ya mashamba
Yanalimwa kila mwaka ama ni y kuanzisha na vp beiPoa poa,Kuna mashamba tumelipa juzi Kati hapa Kuna mengine yanauzwa.
Km 30 toka Town songea
Pia yanafaa kulima mazao yapiYanalimwa kila mwaka ama ni y kuanzisha na vp bei
ShYanalimwa kila mwaka ama ni y kuanzisha na vp bei