Kwa anefahamu juu ya Tatizo hili,Ni hipi haswa suluhu kwa 1st year alyekosa Mkopo hili aweze kuendelea na masomo 2014/2015
Pia ni hatua zipi zinafatwa katika process ya Kuappeal endapo km hujapata mkopo.Msaada Tafadhari..
.Vp? aliomba tena heslb? au?hivi muda wa kuappel nao upo, ila kuna jamaa alichaguliwa udom mwaka juzi alivonyimwa mkopo alihairisha mwaka, then mwaka uliofata aliomba udsm na mkopo akapata now naenda kumbeba ud
.Vp? aliomba tena heslb? au?
asante mkuu ,maelezo safiyah aliomba tena na tcu akaomba tena kozi nyingine, mwanzo aliomba udom bsc with statistc, wallivozingua mwaka uliofata akaomba ud eng alipata na mkopo alipewa 86% ila alitoa taarifa tcu
tunaomba kaka kama unazifahamu procedurez za kuappeal bhasi, maana wa udom 2nataka 2jue mapemaa kabla hakuja kucha..msaada..ila walinichagua eductn xaxa cjui maana udom nao? coz ya edctn ,mmmh.Only appealing
mbon majina ya waliopata mkopo ktk vyuo vya Tia, Ifm, Udom na Mzumbe ni fm6 pekee au diploma watafatia bdae kama ilivotokea kwa TCU ?
Nenda JKT wala hawaja kataza unaweza kwenda alafu uka omba mkopo mwakani.
Lakini kama tu kwenu hakuna pessa
Ndugu hayo majina ya waliopata mkopo IFM unaweza uka share nasi file hiyo ili tunufaike wote Mkuu? Please fanya hvyo if possible au PM tukutane.
Ifm wamebandika chuoni
tunaomba kaka kama unazifahamu procedurez za kuappeal bhasi, maana wa udom 2nataka 2jue mapemaa kabla hakuja kucha..msaada..ila walinichagua eductn xaxa cjui maana udom nao? coz ya edctn ,mmmh.