The Only Kilo
JF-Expert Member
- Jul 16, 2010
- 352
- 87
Kabla hujaingia ndani ya ndoa kwa wanaume kitu ambacho huvutia ni uzuri wa kimuonekano i.e physical appearence na kwa wanawake ni jinsi gani mwanaume anavyojali na usmart wa akili pamoja na parsonality kwa ujumla..... Swali linakuja Je, kwa sasa mkiwa kwenye ndoa tayari, ni kipi ambacho unafikiri unakipata kinachosababisha uzidi kumpenda au ni kipi alichokosa baada ya kuingia kwenye ndoa kinacho sababisha umkinai mzazi mwenzio...tupia hapa utupe upana na urefu wa kufanya maamuzi sahihi kabla hatujaoana!