Kwa walio na ndoa tuu

Tabutupu

JF-Expert Member
Nov 26, 2010
13,111
18,327
Nyie ndoo mnaojua ndoa ni nini. Naomba kuwa uliza jambo moja tuu.

" kitu gani kilikuboa siku zako ulizokuwa honeymoon kutoka kwa mwenzi wako" usiseme hakipo??
 
hakuna mtu atajibu hapa sababu kila mtu anaamini honeymoon yake ilikua perfect...
 
kama kuna mtu aliboreka wakati wa honeymoon basi huyo hataifurahia ndoa yake siku zote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…