KWA WALIMU TU

KWA WALIMU TU

Dr. Zaganza

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2014
Posts
1,627
Reaction score
2,481
Habari wakuu.
Moja ya kazi za mwalimu ni kusahihisha(marking) na kupanga matokeo. Okoa muda wa kufanya zoezi hili kwa kutumia Ms excell iliyoratibiwa ambapo wewe utarekodi Jina na marks tu za mwanafunzi kisha Excell itafanya yafuatayo.
1.Jumla ya marks kwa masomo uliyorekodi
2.Idadi ya masomo
3.Wastani
4.Daraja
5.Nafasi Darasani
6.Maelezo ya daraja mfano, vizuri, wastani au dhaifu.

Kwa mawasiliano nami: 0713-039875
 

Attachments

  • CLASS.PNG
    CLASS.PNG
    6.1 KB · Views: 59
  • STUDENT REPORT.PNG
    STUDENT REPORT.PNG
    6.8 KB · Views: 53
Back
Top Bottom