Dr. Zaganza
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 1,627
- 2,481
Habari wakuu.
Moja ya kazi za mwalimu ni kusahihisha(marking) na kupanga matokeo. Okoa muda wa kufanya zoezi hili kwa kutumia Ms excell iliyoratibiwa ambapo wewe utarekodi Jina na marks tu za mwanafunzi kisha Excell itafanya yafuatayo.
1.Jumla ya marks kwa masomo uliyorekodi
2.Idadi ya masomo
3.Wastani
4.Daraja
5.Nafasi Darasani
6.Maelezo ya daraja mfano, vizuri, wastani au dhaifu.
Kwa mawasiliano nami: 0713-039875
Moja ya kazi za mwalimu ni kusahihisha(marking) na kupanga matokeo. Okoa muda wa kufanya zoezi hili kwa kutumia Ms excell iliyoratibiwa ambapo wewe utarekodi Jina na marks tu za mwanafunzi kisha Excell itafanya yafuatayo.
1.Jumla ya marks kwa masomo uliyorekodi
2.Idadi ya masomo
3.Wastani
4.Daraja
5.Nafasi Darasani
6.Maelezo ya daraja mfano, vizuri, wastani au dhaifu.
Kwa mawasiliano nami: 0713-039875