Pinda Nhenagula
Member
- Jan 26, 2019
- 67
- 86
Habari wanajukwaa natumai wazima na harakati za hapa na pale zinasonga jamani mimi naombeni mnisaidie tu kwa hili.
Nimepata KIBARUA cha kuangusha au kulaza MTAMA chini kabla ya kukata kichwa cha mtama . kwa wale wa kulima au wenye udhoefu wa mtama hususani wakazi wa Lindi mnalipaje kwa kuangusha au kulaza mtama shamba la nusu hekari au kwa HEKARI MOJA n.k.
Malipo kwa vibarua maana nimepata dili na hii ndo mara ya kwanza kwangu kujihusisha na KAZI ZA VIBARUA
Nimepata KIBARUA cha kuangusha au kulaza MTAMA chini kabla ya kukata kichwa cha mtama . kwa wale wa kulima au wenye udhoefu wa mtama hususani wakazi wa Lindi mnalipaje kwa kuangusha au kulaza mtama shamba la nusu hekari au kwa HEKARI MOJA n.k.
Malipo kwa vibarua maana nimepata dili na hii ndo mara ya kwanza kwangu kujihusisha na KAZI ZA VIBARUA