Kwa wale wataalamu wa PC / COMPUTER

KUDOLE CHA MWISHO

JF-Expert Member
Aug 13, 2017
410
888
Kuna hii kitu nimekuta kwenye pc yangu baada ya kurestart


Kwa msaada jamani nisadie wakuu
1556559302951.jpeg
 

Attachments

  • IMG_20190429_202954_4.jpeg
    IMG_20190429_202954_4.jpeg
    36.2 KB · Views: 15
Pole sana
Kuna kitu ulifanya

Aidha ume instalk software ambayo si verified
Ikitokea hivyo una restart lakini kwa kawaida ikitokea namna hiyo ni component failure ambayo computer kutumia OS ime protect ili machine isipate hitilafu yaani demage

Piga uninstall hiyo software kama uliweka else jipange uweke OS mpya
 
Pole sana
Kuna kitu ulifanya

Aidha ume instalk software ambayo si verified
Ikitokea hivyo una restart lakini kwa kawaida ikitokea namna hiyo ni component failure ambayo computer kutumia OS ime protect ili machine isipate hitilafu yaani demage

Piga uninstall hiyo software kama uliweka else jipange uweke OS mpya
Kwana madhara yake kuka bila hyo os n nn kaka, coz imetokea leo
 
OS ndo window ambayo ina instruct computer kufanya jambo fulani

So kama ikitokea hivyo ujue imeizuia computer yako kutaka kutokea kitu ambacho kingesababisha computer kupata madhara

Hapo mpaka uende kwenye event viewer ndipo utajua kilichotokea pia muone mtaalam wa computer r akusaidie kwa msaada zaidi.
Kwana madhara yake kuka bila hyo os n nn kaka, coz imetokea leo
 
Mkuu kwenye hio path appdata/roaming kunakaa mafile ya software za kawaida hakuna mahusiano yoyote na operating system wala ufanyaji kazi wa computer yako.

Unaweza kwenda manually mwenyewe hapo.

Kwanza iambie computer yako ionyeshe hidden files na folder

Kama unatumia windows za kisasa ukiwa kwenye file explorer click view tab kisha tick kwenye hidden kama picha inavyoonesha
images


then kunavigate hilo folder utaclik my computer ama this pc tegemea na windows, kisha utaenda user kisha Baraka kisha appdata kisha roaming halafu tafuta hilo file difycelkp kama halipo pengine limefutwa.

Na sababu hilo file linataka kujifungua punde unapowasha computer inamaana hio program yake ina startup permission ya kujifungua pindi computer ikiwashwa. Unaweza kutoa program za aina hii kwa kufungua task manager (right click task bar then task manager) halafu nenda startup programs. Kwa windows za zamani kama 7 nenda start kisha all programs kisha startup.

Hakikisha programs unazoziamini tu kama vile ant virus ndio zina ruhusa ya kujifungua pindi windows inawaka.
 
Ikishafanya hivyo inawaka au inaishia hapo? naona kama huyo ni Threat script.
Niljaribu kurestart ilaleta maandishi ya blue hapo juu

Ila kila siku nikiwasha inaniambia "cannot find window script" hii ni kila nikiwashaaa
 
Mkuu kwenye hio path appdata/roaming kunakaa mafile ya software za kawaida hakuna mahusiano yoyote na operating system wala ufanyaji kazi wa computer yako.

Unaweza kwenda manually mwenyewe hapo.

Kwanza iambie computer yako ionyeshe hidden files na folder

Kama unatumia windows za kisasa ukiwa kwenye file explorer click view tab kisha tick kwenye hidden kama picha inavyoonesha
images


then kunavigate hilo folder utaclik my computer ama this pc tegemea na windows, kisha utaenda user kisha Baraka kisha appdata kisha roaming halafu tafuta hilo file difycelkp kama halipo pengine limefutwa.

Na sababu hilo file linataka kujifungua punde unapowasha computer inamaana hio program yake ina startup permission ya kujifungua pindi computer ikiwashwa. Unaweza kutoa program za aina hii kwa kufungua task manager (right click task bar then task manager) halafu nenda startup programs. Kwa windows za zamani kama 7 nenda start kisha all programs kisha startup.

Hakikisha programs unazoziamini tu kama vile ant virus ndio zina ruhusa ya kujifungua pindi windows inawaka.
Nimefanikiw Kaka asante sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom