Mtoto wangu ijumaa iliyopita alivunjika
mkono wa kulia sasa yuko Hosp mkono
ulikuwa umevimba sana.
Jumatatu alilazwa mkono wake ukaning'inizwa
juu ili uvimbe ushuke kesho madokta
wanasema watamfunga POP lakini leo
Ikifika saa sita asile chochote hadi kesho
asbh atakapofungwa hogo sasa nawaza
adha anzopatA na kesha sijui watamchoma
japo ganzi asisikie maumivu sana.
Stress yangu hadi saa hii mechi ya ligi kuu Uingereza Man U Vs Everton (mapumziko), Man U hajapachikwa bao...yaani inauma sana....
polehh mwaego....life is a gigantic book with a lot of pages,while ur in a pursuit fo a job do othr thngs tht amek you happy o tht are productive,ie simamia mambo nyumbani kwenu vzur,make a garden,travel,participate zaid church km ni mpendwa,learn new thngs language,volunteer,tembelea ur relatives wa mbali ie bibi babu,ongeza elimu ie postgraduate,short courses,attend seminar and the like,and most of pray a lot,kukosa kazi isikunyime raha,life'z mo thn that
Stress yangu ni huyu mdada nilompachika mimba kabla hatujaoana. yani najihisi kama nimeyakosea maisha. mda mwingine natamani mda urudi nyuma ili niweze sahihisha kosa hili.
Tumia vaseline mkuu.Sijalala hapa...Dr. Slaa kanikosha sana leo....
Mtoto wangu ijumaa iliyopita alivunjika
mkono wa kulia sasa yuko Hosp mkono
ulikuwa umevimba sana.
Jumatatu alilazwa mkono wake ukaning'inizwa
juu ili uvimbe ushuke kesho madokta
wanasema watamfunga POP lakini leo
Ikifika saa sita asile chochote hadi kesho
asbh atakapofungwa hogo sasa nawaza
adha anzopatA na kesha sijui watamchoma
japo ganzi asisikie maumivu sana.
tukizimwaga hapa utaweza kutatua!??
Stress yangu ni huyu mdada nilompachika mimba kabla hatujaoana. yani najihisi kama nimeyakosea maisha. mda mwingine natamani mda urudi nyuma ili niweze sahihisha kosa hili.
thanx umenifarij
u welcomed...keep t real...
A problem said is half solved
Mi nimeshtuka baada ya kuimiss JF
Mimi nipo macho namuwaza jamaa nilikuwa nae kaniambia eti anawahi nyumbani wanaweza kumwibia hakuna mtu ukizingatia anakaa katika flet ya juu! Mi nahisi kaoa ila anashindwa kuniambia anasingizia vibaka watapiga jordan. Hivyo nipo nipo tu natafakari