Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,756
Ukiwa mwenye safari ni kujitahidi mafuta kila ya kifika nusu tank, utapo ona Kituo kikubwa Lake, GBP , puma unatia wese, gari yangu yoyote huwa haiendi chini ya nusu tank, labda niwe dar huwa nakomaa nayo hadi kataa kawake πππHizi chuma suala la fuel sensitivity nadhani ni issue.
Mtu aliyeko mkoani kwenye sheli za Mafuta low quality ni lazima ife mapema.
Kuna sehemu nishawahi kufika kukuta sheli zote ni brand tatanishi... moja inaitwa "NDONO petrol station".
Nikauliza wenyeji... "Kuna sheli ya Total au Puma au Lake Oil maeneo haya?"
Jamaa wakanijibu kwa swali: "mmh TOTALI ndo mafuta ya kwenye nini hayo kaka"?
Nikatia cha 'uwani' nikageuza mkebe then nikateleza.
-Kaveli-