Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,756
Golf R habari ingine kabisa hiyo chuma
Golf R habari ingine kabisa hiyo chuma
Hahahah eeh kamua mzee baba! Mda una ruhusu huu saa 1/1 unageukaNgoja niamshe Morogoro, na kurudi wese liishe 😀😀😀.. niweke Total 🤣🤣🤣
Hamna 😀😀😀Hahahah eeh kamua mzee baba! Mda una ruhusu huu saa 1/1 unageuka
Matunzo ndio issue kununua kama Toyota tu.Bei chey sio siri ila kwenye huduma ndio hapo itataka uwe kamili
Hata Toyota ya size ya Golf inauzwa ghali zaidi! Runx nina hakika ni bei juu kuliko Golf ila matunzo ndio tunapishanaMatunzo ndio issue kununua kama Toyota tu.
Unaziwahi foleni sahii ukipiga ya bagamoyo msata ni saa 10 kasoro upo chalinze! Saa 12 uko Moro unakula kahawa NasheraHamna 😀😀😀
Eeh bana hicho ki Golf kimepagawa sana mzee 😅😅😅 kumbe ndio maana unavihusudu sana hivi vigari
Turbo charged 2000cc uchawi uko kwenye HP 310! Mara mbili ya golf ya kawaida cc2000 bila turboMzee hebu naomba elimu hapa mbona kwa mtandao cc yake haipiti hata 1,500??
Lake OilThat's right. Mafuta ya Total ukiweka unasense utofauti mkubwa sana kwenye performance ya gari.
Mkuu ubora wa Lake Oil unausemeaje?
-Kaveli-
Bado unayo uniuzieMimi sio mzoefu sana wa teknolojia za magari lakin binafsi nina Golf 5 GTI Original na ni manual transmission.
Hizi ndo sifa nilizozigundua:
1.Ina speed kali sana ukiwa mjinga haikukawizi
2.Ni nzinto na very stable(ukipishana na lori au basi wote mkiwa machafu haufeel chochote ni kama umepishana na Passo)
3.Very confortable unapoiendesha
In short Polo ni bwana mdogo kwa Golf.