Habari wana JF, kama kuna mtu amesoma masomo tajwa hapo (community economic development/community development) kwa levo ya degree pls inbox me ur number, ili tuweze kuwasiliana zaidi na uwezi nitumia vyeti vyako.
kama umeamua kuweka hapa, basi weka kila kitu hapa ili watu tuweze kujua, ayo masuala ya ku inbox no, du, mimi ni mmoja wapo nimesoma, masuala ya project and community development.
habari wana jf, kama kuna mtu amesoma masomo tajwa hapo juu kwa levo ya degree pls inbox me ur number, ili tuweze kuwasiliana zaid na uwez ni2mia vyeti vyako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.