0ozg Tz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 4,168
- 11,250
- Thread starter
- #21
Jamaa anajiamin sana,hii ya familia pia,unaitoa nyumbanKwa bongo inawezekana ukaendesha bila hizo karatasi za umiliki. Kuna jamaa yangu alinunua bila karatasi/doc yoyote na anadunda hadi leo miaka 7 sasa
Muhimu tu iwe haijatumika kwenye uhalifu