Kwa wale wa sua it is ma hope u ar ok naombeni nijuzeni hii koz ina field mwaka wa ngapi na vp kuhusu msuli wake kulinganisha na food science &technologyna pia khs future zake which one has bright future than other?
FROM WHAT I KNOW almost degree programs at sua are marketable...kuhusu msuli mkuu hata sociology,law,maths msuli ni lazima....siwez semea sana hili kwa maana sijafika sua bado...ila msuli ni lazima!!!!
watu wengi sasa wamewekeza kwenye kilimo na ndo kauli mbiu ya taifa...so hata future yake lazima itakua nzuri we mwenyewe tu na hiyo miaka 3 pande za sua!!!! kuhusu field tungoje wadau wengine waje...ila naiman itakua ni mwaka wa 2 na 3(japo sina uhakika)....nawasilisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.