jamani kwa wale wenzangu na mimi mnaosubiria ajira za jeshi,nimepigiwa simu niende makao makuu ya wizara ya ulinzi kuwa nimechaguliwa kujiunga na jeshi kambi ya kigoma na niandikapo thread hii najaza fomu yao...kiufupi nlifanyiwa mchongo manake bila m2 Tz hii kazi bure...nawasilisha tu jamani sina uhakika kama post zimeshatoka tayari..kwa anaetaka maelezo zaidi pls ni PM
Jipange upya kaka hakuna kambi ya mafunzo ya recruit ya JWTZ KIGOMA recruit hupitia MAKUTUPORA na DSM kwa PROFESIONAL ukiniambia umepata nafasi ya JKT ntakuelewa haijawahitokea wa2 kuandikishwa na kupangiwa kikosi direct usiwarushe roho wenzako
Jipange upya kaka hakuna kambi ya mafunzo ya recruit ya JWTZ KIGOMA recruit hupitia MAKUTUPORA na DSM kwa PROFESIONAL ukiniambia umepata nafasi ya JKT ntakuelewa haijawahitokea wa2 kuandikishwa na kupangiwa kikosi direct usiwarushe roho wenzako
Unetoa Rushwa sio?Tutakushughulikia..Maana Hata Interview hujafanya wewe..Kwa Lugha rahisi hujapimwa,Ukimwi,Kam Ni Rijalii,Au kama sio Ridhiki,Matege,Presha,Kisukali,Kuona Vizuri,Mishipa za Chini ya Paja n.k...we ngoja utaona...
Unetoa Rushwa sio?Tutakushughulikia..Maana Hata Interview hujafanya wewe..Kwa Lugha rahisi hujapimwa,Ukimwi,Kam Ni Rijalii,Au kama sio Ridhiki,Matege,Presha,Kisukali,Kuona Vizuri,Mishipa za Chini ya Paja n.k...we ngoja utaona...
Jamani hii habari ni kweli kabsa japo kuwa deadline ilikuwa juzi lakni bado wanapokea barua...source: mm ,macho yng na maskio yangu yameshuhudia,juz waliitwa watu 50.
Jamani hii habari ni kweli kabsa japo kuwa deadline ilikuwa juzi lakni bado wanapokea barua...source: mm ,macho yng na maskio yangu yameshuhudia,juz waliitwa watu 50.
nilikuwa Makao makuu Upanga leo na mm nmeskia kuanzia mwaka huu mnapitia J.k.t hata kwa professionals coz hata J.k.t nao wanawahtaj pia,bt mm haikujalisha ni Jw au jkt but nahtaj jesh tu,so kwa meng zao we attend kesho then utajioneo,ok?
Jipange upya kaka hakuna kambi ya mafunzo ya recruit ya JWTZ KIGOMA recruit hupitia MAKUTUPORA na DSM kwa PROFESIONAL ukiniambia umepata nafasi ya JKT ntakuelewa haijawahitokea wa2 kuandikishwa na kupangiwa kikosi direct usiwarushe roho wenzako