Simbamteme
JF-Expert Member
- Sep 10, 2011
- 784
- 2,063
Jipange upya kaka hakuna kambi ya mafunzo ya recruit ya JWTZ KIGOMA recruit hupitia MAKUTUPORA na DSM kwa PROFESIONAL ukiniambia umepata nafasi ya JKT ntakuelewa haijawahitokea wa2 kuandikishwa na kupangiwa kikosi direct usiwarushe roho wenzako
Kuwa mwelewa kjn,mimi cjataja jwtz wala jkt,kifupi ni jkt
Ingekuwa kweli uandikayo basi TZ yetu ikuwa safi,hii ni sawasawa na Fisi kumtishia SimbaUnetoa Rushwa sio?Tutakushughulikia..Maana Hata Interview hujafanya wewe..Kwa Lugha rahisi hujapimwa,Ukimwi,Kam Ni Rijalii,Au kama sio Ridhiki,Matege,Presha,Kisukali,Kuona Vizuri,Mishipa za Chini ya Paja n.k...we ngoja utaona...
Jamani hii habari ni kweli kabsa japo kuwa deadline ilikuwa juzi lakni bado wanapokea barua...source: mm ,macho yng na maskio yangu yameshuhudia,juz waliitwa watu 50.
unazungumzia JWTZ au JKT?
Jipange upya kaka hakuna kambi ya mafunzo ya recruit ya JWTZ KIGOMA recruit hupitia MAKUTUPORA na DSM kwa PROFESIONAL ukiniambia umepata nafasi ya JKT ntakuelewa haijawahitokea wa2 kuandikishwa na kupangiwa kikosi direct usiwarushe roho wenzako
nn watu ndo wameenda wapo kama 700 kweataarifa yenu na mi kuna mshikaji namfahamu ameenda hii ndo TANGAN oooo sory tz bana