Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 21,854
- 26,091
High quality copy ya hayati Magufuli pekee ni bw. David Mwaijojele, trust me or not, kwa wale watu wa msimamo mkali mmepata mtu mwenye wajihi sahihi, mfuatilieni nyendo zake na sera zake pamoja na msimamo yake!, kwa wale ambao bado mnamisimamo mikali pitieni njia hiyo jiungeni kwa wingi msongeshe kwa kasi kubwa.
N. B, hata cv yake inavutia sana, amesomea theologia!
N. B, hata cv yake inavutia sana, amesomea theologia!