Fundi mahiri wa ujenzi
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 3,954
- 2,439
- Thread starter
- #21
Mkuu kwa bei ya tshs 70000 kunahaja ya kukodi kweli? Si bora ununue kabisaNa vp ishu ya usimamizi pamoja na kukodisha?
Mkuu kwa bei ya tshs 70000 kunahaja ya kukodi kweli? Si bora ununue kabisaNa vp ishu ya usimamizi pamoja na kukodisha?
magubike njia ya kwenda dodoma
nimekucheki pm tayariHabar mkuu! Najaribu kukufuata PM haikubali, naomba kuwasiliana nawe
Mkuunimekucheki pm tayari
Vipi kuhusu vyanzo vya Maji viponimekucheki pm tayari
Asante kwa ushirikianokuna mito ila ni midogo, maeneo ya kule mara nyingi mvua inakuwapo . ingawa kuna miaka huwa inasumbua , ila ardhi ina maji kama utachimba kisima
Morogoro sehemu gani kaka!njoo , morogoro huku kuna sehemu wanalima mbaazi shamba ekari moja ni elfu 70 unanunua linakuwa lako, alafu ukipanda mbaazi ekari moja ni kama laki moja ila huwa wanachanganya na mahindi kwahiyo baada ya miezi kama mitatu utavuna mahindi kisha baada kama ya miezi kumi unavuna mbaazi.Gunia moja ni laki tatu unavuna gunia kati ya tatu mpaka nne kwa ekari, hakuna kutumia madawa , wala gharama nyingine zaidi ya kupalilia ambayo ipo ndani ya laki na wakati wa kuuza wanakufuata mpaka shambani .Mwaka huu wanunuzi wameanza kununua hata kabla mazao hayajavunwa. Nimelima mara ya kwanza mwaka huu nikivuna bei ikiwa nzuri ntalima ekari nyingi zaidi
magubike njia ya kwenda dodomaMorogoro sehemu gani kaka!
Mimi mtaalam sana wa Irrigated agriculture ni pm nikupe utaalamuMtaji ninao kama 35mil. na mda ninao mkuu. Bei ya mashamba mbalali kwa heka ni wastani wa being gani?
Kyela kijiji cha TenendeMbeya sehemu gani mkuu