Kamau Kingu
Member
- Feb 8, 2015
- 71
- 7
Heshima kwenu,
Naombeni mnijuze, hivi ni haki kweli kuishi na mkeo hata kama anakufanyia vituko na vitendo visivyo vyakiutu eti kwakuwa mliambiwa mkae pamoja mpaka kifo kiwatenganishe?
Kazi kwenu
Naombeni mnijuze, hivi ni haki kweli kuishi na mkeo hata kama anakufanyia vituko na vitendo visivyo vyakiutu eti kwakuwa mliambiwa mkae pamoja mpaka kifo kiwatenganishe?
Kazi kwenu