Asssalam alykum warrahmatullah wabarakatuh kheir ndugu zangu katka imaani
Allah anasema katika quran tukufu
Surat Al-An‘ām (6:108)
“Wala msiwatukane wale wanaowaabudu (miungu) badala ya Mwenyezi Mungu, wasije wakamtukana Mwenyezi Mungu kwa uadui bila ya kujua.
Hivyo ndivyo tulivyopamba kwa kila umma vitendo vyao. Kisha marejeo yao yatakuwa kwa Mola wao, naye atawaeleza waliokuwa wakiyafanya.”
Naam kama Ayah inavyosema ndugu zangu waislam najua mna nia njema ya kuhakikisha mnaufikisha uislam kama ipasavyo lakin wanasema mwenye macho haambiwi tazama nadhani nyuzo nyingi humu zimeongeleka kuhusu Dini nyuzi zipo enzi na enzi ivo basi mimi nachowaomba kuanzia sasa hata waweke mada ya namna gani waislam tukaushie maana tukijibu tu wanashusha matusi mengine hata kuyasoma nguvu zinaisha ila yote hiyo ni kuhakikisha tunakuwa na radhi zake Allah tusije jibizana nao tukajikuta wanatutukania dini yetu sasa mm nawaomben utulivu na uvumilivu naamn kila aliyemo humu mkristo au wa dini nyngnez huu ujumbe wa kiislam umemfikia kwa maana hiyo sisi TUMEFIKISHA!!!!! Sasa jukumu la kuwaongoza hilo sio letu bali Allah mwenyewe kasema ndani ya quran tukufu
Surat Al-Qasas (28:56)
Allah anasema
“Hakika wewe huwezi kumuongoza umpendaye, lakini Mwenyezi Mungu humuongoza amtakaye; naye ndiye anayewajua vyema wanaoongoka.”
Tufunge Uzi huu kwa Ayah nyngne ya Allah
Katk Surat Al-A‘rāf (7:178)
Allah anasema
"Anayeongozwa na Mwenyezi Mungu ndiye aliyeongoka, na anayepoteshwa basi hao ndio wenye khasara.”
Sasa nawaombeni ndugu zangu zingatia Mada
Assalam alykum warrahmatullah wabarakatuh
Allah anasema katika quran tukufu
Surat Al-An‘ām (6:108)
“Wala msiwatukane wale wanaowaabudu (miungu) badala ya Mwenyezi Mungu, wasije wakamtukana Mwenyezi Mungu kwa uadui bila ya kujua.
Hivyo ndivyo tulivyopamba kwa kila umma vitendo vyao. Kisha marejeo yao yatakuwa kwa Mola wao, naye atawaeleza waliokuwa wakiyafanya.”
Naam kama Ayah inavyosema ndugu zangu waislam najua mna nia njema ya kuhakikisha mnaufikisha uislam kama ipasavyo lakin wanasema mwenye macho haambiwi tazama nadhani nyuzo nyingi humu zimeongeleka kuhusu Dini nyuzi zipo enzi na enzi ivo basi mimi nachowaomba kuanzia sasa hata waweke mada ya namna gani waislam tukaushie maana tukijibu tu wanashusha matusi mengine hata kuyasoma nguvu zinaisha ila yote hiyo ni kuhakikisha tunakuwa na radhi zake Allah tusije jibizana nao tukajikuta wanatutukania dini yetu sasa mm nawaomben utulivu na uvumilivu naamn kila aliyemo humu mkristo au wa dini nyngnez huu ujumbe wa kiislam umemfikia kwa maana hiyo sisi TUMEFIKISHA!!!!! Sasa jukumu la kuwaongoza hilo sio letu bali Allah mwenyewe kasema ndani ya quran tukufu
Surat Al-Qasas (28:56)
Allah anasema
“Hakika wewe huwezi kumuongoza umpendaye, lakini Mwenyezi Mungu humuongoza amtakaye; naye ndiye anayewajua vyema wanaoongoka.”
Tufunge Uzi huu kwa Ayah nyngne ya Allah
Katk Surat Al-A‘rāf (7:178)
Allah anasema
"Anayeongozwa na Mwenyezi Mungu ndiye aliyeongoka, na anayepoteshwa basi hao ndio wenye khasara.”
Sasa nawaombeni ndugu zangu zingatia Mada
Assalam alykum warrahmatullah wabarakatuh