Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 25,554
- 45,847
chukua ndizi mbili mbivu,kata vipande vidogodogo ,weka maji level ya hzo ndizi kwenye sufuria ,chemsha dakika 10
kunywa hayo maji
kalale baada ya dakika 20
utashtuka kesho saa nne
mimi imenisaidia maana stress hizi nilikuwa silali kabisa
kunywa hayo maji
kalale baada ya dakika 20
utashtuka kesho saa nne
mimi imenisaidia maana stress hizi nilikuwa silali kabisa