NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 8,512
- 17,417
Wakuu,
Fanyeni hivi:
Jaribu unipe mrejesho
Asanteni kwa kusoma
Fanyeni hivi:
- Chukua ndizi Saba au nane zilizoiva kabisa.
- Zioshe kwanza kwa maji Safi.
- Menya (toa maganda) halafu hayo maganda weka kwenye sufuria Safi,weka maji kwenye sufuria kama lita Moja hivi!
- Chemsha mchanganyiko wa maji na maganda hadi uchemke kama chai Hadi maji yabadili rangi na kuwa kama njano hivi!!
- Ipua mchanganyiko wako na uache upoe KWA dakika kadhaa uwe vugu vugu kunywa nusulita ya mchanganyiko huo wakati wa jioni Baada ya kula na kesho asubuhi Baada ya kuswaki.
Jaribu unipe mrejesho
Asanteni kwa kusoma